Tusijadili hii ishu kwa wepesi sana.
Ndani ya ndoa kuna mgawanyo wa majukumu na kila mwanandoa huwajibika.
Ikitokea mke/mume anataka pesa za kutimiza yale majukumu yake au anataka pesa kwa kitu fulani, kuna namna mbalimbali za kupata uwezesho kutoka kwa mwenziwe.Mimi kwa mfano, nikihitaji pesa...
HEHEHEHH ..sipati picha jinsi Mh Maua Daktari atakavyotibu baada ya kutoku practice kwa miaka yote akiwa siasani! Mi wala sitathubutu anitibu.Ni bora ni google kisha nikajinunulie dawa!
Watanzania tunavuna tulichopanda wala tusione vibaya kwa hili lililotokea leo Bungeni.Kwani hao wabunge waliingiaje bungeni? Si walichaguliwa na wananchi?
Je wananchi wanaokufa kwa kukosa huduma kwa vile madaktari wameweka mguu chini kudai haki zao, mbele ya Wabunge wana thamani gani?
Mimi...
Hivi, waheshimiwa wataacha kupokea allowances kwenye mikutano na asasi za kiraia, donors na wengine wanaoenda Dodoma kila vikao vya Bunge vikiendelea au ?
330,000/= jumlisha na hizo allowances nyingine...mhhh! Ubunge unalipa asikuambie mtu!
SECONDED! I hate the word itself - "posho" halina element ya kitumwa kweli nyie wajuaji wa kiswahili sanifu?
Hivi nchi nyingine wanafanyaje? Naambiwa huu ni utamaduni wa nchi za Kiafrika zaidi,Ni kweli ? kama ndio kwanini?
Tuko pamoja sana mpendwa!
Hata hivyo, wengi wanashindwa kuhimili vishindo hadi ku give in to a relationship esp kama na yeye anajikuta kuvutiwa.Hii mada iliwahi kujadiliwa lakini kivingine na kuna waliotoa ushuhuda kuwa at times wanajikuta waki double roles zote mbili.Hapo hapo ni rafiki wa...
Boss, hii mada hutapata wanawake wengi wana admit ukweli.Si unajua tena wanawake kwa pretences hutuwezi! lol
Hivi mnadhani kwanini dini nyingine zinaweka mipaka baina ya wanawake na wanaume? Mvuto wa asili uliowekwa na muumba kuukabili yataka nguvu ya ziada.Angalia watoto wanapozaliwa hadi...
Gays are nice people.I have several gay friends na hakuna shida hata kidogo.Shida iko kwenye mwanaume ...mwenye hisia kwa mwanamke! Gay tena usiombe maana urafiki wao utafurahia hadi basi. Ni watu wa kutegemewa sana, ni wakweli, wanajali kama marafiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.