Hivi inawezekana kuwa pale Muhongo alipokuwa anatajataja malipo kwa wakili mkono kuna kitu alikuwa anakisema kisailensa? Inawezekana kwakuwa Muhongo ni mpya huku serikalini hayuko kwenye umiliki na wenyewe ni wale ambao wamebobea sasa jamaa akawa na hasira sana kuona kuwa anabebeshwa mzigo usio...
Kuwa shoga inawezekana kabisa kuwa something somewhere went wrong! hili nitalikubali maana mwamaume wa kawaida hawezi tu kwa hiari kuamua eti anaanza kupenda wanaume.
Sasa tukishakubaliana kuwa hawa watu hilo lililowakuta hawakujitakia ni kwamba imewatokea tu lazima tushukuru kwanza...
Tigger hapa unajaribu sana kuwaelimisha watu, I admire that. One thing you have to know: wabaguzi ni watu wa kipuuzi sana, anything which is not like them basi sharti wabague, mtu akiwa different kulingana na wao basi lazima abaguliwe. These people are ****** and they can be found all over the...
Wote mnaoponda hii ni wapuuzi tu. Ni ile ile tuliyowahi kuonywa, ukianza kumbagua shoga then utaishia wapi kubagua?utambagua mwingine kwa rangi ya ngozi,then wengine kwa upana wa pua, wengine sijui kwa ajili ya nini, mtasema oo huyu sijui muhindi, ooh huyu sijui hatoki Mwanza , ooh sijui huyu...
Hivi huyu mwandishi Johnson Mbwambo is he serious about fighting ufisadi? yaani anataka kutuambia anakemea ufisadi pale tu wafanyabiashara wa kihindi wanapohusika, lakini asingekuwa na matatizo kama wazawa wangehusika?
Hivi tukihesabu mafisadi kuanzia walioachishwa uwaziri mpaka waliomfukuza...
Nyani kubali tu Mama amepigwa chini flat and square. Unafahamu upande wa Mama slogan ilikuwa "yes she can" sasa kwa upande wa Obama its about us "yes we can" us includes everyone not only some hard working people who stood with her. Kwa hiyo ukilinganisha "she" and "we" utagundua "we" ni wengi...
Uraia wa nchi mbili hasa za Ulaya kama hao mafisadi watauchukua itakuwa bomba sana, maana nchi kwa mfano kama Ujerumani hata ukitoa rushwa nchi nyingine wao wanakuchunguza kuanzia hukuhuku, kuna mameneja wa Siemens hata Rushwa hawakuchuka wala kutoa, ila walijua kampuni yao imetoa rushwa nigeria...
Sawasawa it is a very good gesture kutoka kwa ukoo wa Nyerere, labda itasaidia kuleta mwanga zaidi, lakini wajibu mkubwa upo kwa serikali ya Tanzania kufuatilia hili jambo maana serikali ndio wananchi na haiwezekani kufurahia kuibiwa mchana kweupe kila mtu akiona.
Hivi watu wanaong'ang'ania Mkapa aongee wana fikiria nini? kila kitu kiko wazi sasa wao wanataka yeye aseme nini?
Watanzania wamekaangwa na mafuta yao wenyewe full stop. Mtu anawakopa watanzania milioni 750, halafu ananunua mali ya watanzania yenye thamani ya bilioni 400 mara 70 and then mara...
Jamani mbona karatasi za xxl hazina noma? XXl watamu sana! halafu juu yake karatasi hilo! mbona bongo mademu wanene tulikuwa tunawachangamkia tu? bila karatasi wala nini! na juu yake tulikuwa tunawatoa out vilevile. wengine ilikuwa katika kuchagua demu mwembamba au mnene tulikuwa tunachagua...
Nyani acha kuchemsha, jina gani hilo unatumia hapo? stick to the issues, that is a tactic used at the times of desparation, mimi nilifikiri campaign ipo bado tight sasa nini kukata tamaa mapema hivyo and start calling people strange names?
By the way mwambie Mama Clinton aache jazba...
Mkuu FM, jamani uzembe wa nchi zetu na kuchukulia mambo juu juu si unaujua? gari ya kibongo hata ikipigwa jiwe linaingia ndani sasa mzee kichaka awe amepanda gari yetu halafu ipate pancha si itakuwa soo? wacha apande hiyo yake imara, Maana akipanda yetu ikapata ajali je hiyo responsibility...
Kwanini asije kuangalia vitu mbalimbali jamani? wangekataa zile milioni mia saba za kihistoria za kuupiga vita umasikini na ugonjwa basi ningekubali wakatae asije. Kweli nikupe hela ukanunue mafuata ya taa ila upate mwanga wa kusomea halafu nisiangalie kama kweli umenunua mafuta ya taa au gongo?
Wewe Mitomingi mimi simfagilii Bushi, ila watu wameweka historia kwa kutoa dollar karibu Million mia saba ($ 700,000,000) kusaidia kuupiga vita umasikini na maradhi kama ukimwi kwa Tanzania halafu hata kuja kututembelea wewe unaona uchungu kuwa atachemshiwa chai? jamani jamani wa-Tanzania...
Mwafrika wa kike, ninakubaliana na wewe kuwa Lowassa alikuwa mpole sana mpaka akashindwa kuwakemea wale wahuni waliosaini mkataba na richmond hata walipotaka kupewa dola mia mbili kwa siku bila kutoa huduma na kutaka mkataba wa miaka miwili badala ya wakati wa ukame tu.
Huyu Pinda awe mkali...
Si ampe Mwandosya tu mambo yaishe? watu anaowapenda akanywe nao chai, watu wanaowajibika awape tu ili wakichemsha aweze kuwapasha directly bila hili wala lile.
Mimi nahisi tu kitu kilichomfanya Lowassa aondoke ni hii kashfa ya Richmond. Sasa hapo JK angefanya nini wakati Tanzania nzima ilikuwa na haki ya kuiona ripoti ya Richmond, yaani angelazimishia jamaa abaki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.