Swali rahisi sana hili;
Inakuwaje tunawajua dadapoa (Machangudoa) makahaba lakini wateja wao hatuwajui?! Na sio ajabu!
Tunayajua maduka yalipo lakini wateja wa maduka hayo tusiwajue hiyo ni kawaida tu bro!
Wengi wanavaa kiutamaduni (kiasili).
Sio fashion wala urembo!
Swali lako la pili ni ndio jibu lake believe me! Bangili hilo usifananishe na zile so called "culture".
Jambo hili lilikuwa na busara huko mwanzoni , likionekana kuweka msawaziko wa udini hasa kwenye nchi changa iliyoanza kujitawala kama yetu yaani msingi wa "check and balance!"
Ukiangalia wenzetu wa Kenya, bado wana matatizo ya udini, tangu nchi yao ipate Uhuru mwaka 1963 haijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.