Huduma katika kituo cha afya mahuta kilichopa kata ya Mahuta wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara ni mbaya na haziridhishi. Mamlaka zitupie jicho la pekee.
Mgonjwa anaweza subiri mapokezi kwa saa mbili bila huduma. Maabara nako ni hivyo. Pia Kuna vyumba viwili tu vya madaktari vinavyotoa huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.