Mmefanya miunzinzi yenu bila kumshrkisha m2 leo dem anataka dry ndo unaomba ushauri,uyo dem anataka kuhamia ghetto kabxaa atak mambo ya kujifcha fcha kwenye vigest
Hamna k2 apo kwan ata NBA ameenda kwa ngekewa 2 km ndo underground mbona wakina cobe,jordan na wengine wengi walianzia chin af wakaweka rekodi ya dunia,ss iv anauza nyago u uko USA,yuko sab ya mwisho kwakuwa apend kufanya mazoez kocha anampa jezi za wenzie afue.
Demu akinitongoza clembi coz ataniona nyoka wa kibisa,nafanya mambo yangu af uyo najikataa kmya kmya kwa kuwa km aliweza kuntongoza mm ashindwi kumtongoza mwingine,nshafagia mademu 15 wenye style izo.
Tatizo midume ya xaxa ina vimada vingi,utakuta ametoka kwa vmada v2 af anarud nyumban na kushndwa kumfuraisha wife af anaic amerogwa kumbe amejiroga mwenyewe,me dem wangu akija ghetto habary nazipata kwa rafik zake na wala cjaenda kwa babu.
Mchanee.....mchane....uyo malaya tena changudoa first clas yan anageuza wanaume km vitega uchumi,ictoshe alikukuta umechoka akaanza kukusop sop af unaleta maringo et ee....kuna tigo pesa....m-pesa...iv unafikiri izo technology mmeekewa nyie malaya,af naic ata pete ya uchumba una jiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.