Mtu mwenye utimamu hutoa taarifa tatizo linapotokea co kudanganya umma alafu unapita unasema miaka hamsini ya uhuru kuna mafanikio ktk sekta ya elimu labda watoto wao wamefanya vzr kwenye mitihani ndio mafanikio wanayosifia ila kwa upande wa ajira za walimu kwishney
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.