Hii ni aibu kwa watu wanaoitwa waumini, mambo Kama hayo yalistahili kutendwwa na wahuni na sio waumini, aliyetenda kosa hilo ni mtoto, waliofanya fujo ni watu wazima, busara haijatumika hata Kidogo.:A S embarassed:
Leo ni siku ya mwisho ya mkataba wa uchimbaji madini kwa kampuni hii, je vigogo wenye mirija katika kampuni hii watakuwa radhi kuachia sheria mpya ya madini ya vito ifanye kazi?
Hofu yangu ni juu ya mikakati inayofanywa ya kuibatiza Tanzanite One kuwa Reachland Resourses, Hiki ni kipimo kwa...
Wabunge wa CCM si woga tu ni wajinga hawajui kilichowapeleka bungeni, inashangaza sana hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kufumbia macho uozo unaofanywa na mawaziri? Jamani wabunge wa CCM mwogopeni Mungu.
Nasikia wabunge wa CCM waliosaini kutokua na imani na waziri mkuu ni watano tu hii inaonyesha kuwa maslahi ya chama chao ni bora kuliko taifa hawa ni wasaliti watanzania tuwaazibu kwa njia ya kura.
Napenda kujua CHADEMA mnajiandaa vipi kuongoza nchi ifikapo 2015, sina shaka mtapata nafasi hiyo, cause msipojiandaa sasa nadhani itakua ghafla alafu mtachemka.
Ndugai bomba sana pamoja na manyonge aliyonayo, kila anapoongoza vikao niburudan, zaidi mwenyewe anaeleza hisia zake, tofauti na bi Kiroboto ata serikali ikienda haja kubwa hadharani atafagilia.
Ukweli ni kwamba serikali ina mpango au agenda ya siri kuhusu huwo Muswaada wa katiba, na inaoneka wazi speaker wa bunge anahusika kusimamia mipango hiyo, hivyo tungeacha uchadema na uccm. tupaze sauti zetu pamoja kwa mustakabal wa future ya taifa letu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.