---- kweli. Hao ndio wanatuvunja moyo hakika. Lakini CDM walisema hilo suala wameliweka vizuri kwa hiyo tusubiri hatua zitakazochukuliwa na CDM ama CUF
Naapa mbele za Mungu, Lowasa asipochaguliwa kugombea urais CCM inakufa rasi. siwezi kuwa sehemu ya kuwapitisha watu wasio na uwezo kazi kuwaza tu madawa ya kulevya kama dogo kipara na wengineo. Sisi tumejiandaa na Lowasa otherwise RIP CCM my stupid party with less convicing ideologies. Nyie...
Unajua watu wengine ni w.a.s.e.n.g.e sana particularly watu wa Lumumba. Inakuwaje mvua inanyesha Arusha wewe unaanguka kwa utelezi Mtwara kama sio unafiki ni nini. Waacheni watu wa CDM wajichagulie kiongozi wao na sio kuwaingilia. Sijui mtakuwa na akili lini enyi wakeketwa wa CCM. Kama mnaona...
Mods naomba msifute hii thread yangu kwa sababu JF ni jukwaa ambalo hata viongozi wa Longido hutembelea
Ni hivi karibuni tumekaribia kufungua one stop center pale namanga ambapo kwa namna moja ama nyingine tutaingia katika ushirikianoi na nchi zingine kama kenya na nchi zingine za Africa...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeendelea kuibomoa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na safari hii kimemchukua aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Geita mkoani Geita, Daud Ntinonu.
Kada huyo ambaye pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho taifa, alijiunga rasmi...
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ngombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!!
Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi...
Mheshimiwa zitto zuberi kabwe amewaeleza maelfu ya wananchi wa iringa na viunga vyake kuwa deni la atiza kklimepanda hadi kufikia trilioni 27 na kila mtanzania ndani ya watanzania mil.45 wanatakiwa kulipa 488,000 hadi mtoto mdogo.
Aliyasema hayo huku wananchi wakiendelea kufunguka na kuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.