Ndo maana nikakuambia kama unaenda kuwasilimia its okay...maana kuna mawili...kaz au salamu.....so all the best wape hii wote na salamu zangu pia hahahahhahahahahhahahah
Acha kumbwela wale hawapokei CV kwa mkono nilishawakol wakaniambia bitume kwa email yao so penda kuwakol kabla hujauliza kwetu....labda kama unaenda kuwasalimia its okay nenda but sio kuwapelekea CV
Hata Mungu unamwandika mungu....and u need God's help while ya not even careful by textin his name correctly tena isitoshe ni kwa kiswahili je utasema hujui kiswahili au umezarau jina lake na unamuomba kazi...let's tekkea guys....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.