We mzee Acha hizi mambo. Tunaijua dini vizuri tu, amka futa tongotongo kisha umtafute Yesu wa kweli. Achana na mang'ombe yako mekundu sijui mausi hayo.
Hayanaga formula haya makitu jomba. Unaweza ona kameelekea kibla kabisa ila ukikaomba utashangaa kanaruka maili mia tisa kanakujazia nzi.
Sema kama kweli unakataka, usianze kutaka kukala, jibebeshe kwanza hayo majukumu ya luku na kubeba uchafu kama miezi 3 hivi kisha utashika mkono tu kukalaza...
Unachezea ugunduzi wetu wa kuiba kura wewe!
Uliwahi ona taifa gani lingine wagombea wote wa upinzani wanaenguliwa kwa kutojua kujaza forms? Kwann hutaki kutupatia maua yetu.
Mkuu samahani siulizi kwa ubaya, wewe una gari?
Mataa hayana shida kabisa. Tatizo ni pale trafiki wanapoyaingilia na kuanza kuoendelea upande mmoja
Kwenye round abouts nakuunga mkono. Huwa ziko bomba sana
Kwahiyo akikimbia muuwaji polisi hawatakiwi kumtafuta?
Wiki nzima dogo anatafutwa na watu wameenda hadi vituo vya polisi kuulizia wanaambiwa jeshi halina taarifa zake kisha unambiwa alikuwa mortuary ya polisi wiki nzima! Kwahiyo hata watu walio katika mortuary zao hawajui?
Hivi hata kuwapa mawaziri chopa ni hadi wapewe na Rais???
Hii nchi uchawa umefika stage kubwa sana. Chopa ya jeshi mawaziri kwenda site unasema wamepewa na Rais.
Badala mpeleke mainjinia hata hivyo mnampeleka Ndejembi. Ujinga mtupu..
Nyota 5 chato???
Ujinga hautaisha nchi hii.
Shida kubwa nchi hii watu hawana uchungu na mali ya Taifa. Nina imani kabisa hao Maboss wa Tanapa waliopitisha huo ujenzi ukiwaambia wakajenge chochote kwa hela zao binafsi toka mfukoni hapo chato watakataa ila kwa sababu ni hela ya serekali wanaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.