Wana JF maandamano ya waisilamu kesho hayana baraka za jeshi la polisi. Je viongozi na wafuasi wengine waliohusika kuratibu maandamano hayo watakubaliana na hilo?
Nawasilisha.
Chanzo: TBC usiku wa habari live.
ZITTO must be fired if the evidences shall provide proof beyond reasonable doubt. Itakuwa fundisho kwa vibaraka wengine wenye kughiribiwa na magamba kwa lengo la kurudisha nyuma jitihada za CDM za kuwakomboa watanzania wanyonge kutoka mikononi mwa mafisadi wasio na huruma.
Ni tamko sahihi lilotamkwa kwa wakati sitahiki maana bado tupo ndani ya kipindi cha matukio ya machafuko. Lengo la baraza hili la kikiristo ni kuweka bayana msimamo wao kwa mambo yaliyojiri kabla ya kuanza ukurasa mpya wa mienendo ya kimaisha kwa mwaka 2013.
Ndugu wa JF
Haijawahi kutokea serikali kutumia matokea ya mock mkoa darasa la saba kufanya selection, mwaka huu hilo limefanyika. Je huko ni kutatua tatizo au kuendeleza udhaifu? Je wanaweza kutatua tatizo kwa kuficha ukweli?
Nawasilisha
Mimi naamini kuwekwa wazi mapema mikakati hii hatari ya ukwamishaji wa ukombozi wa mtanzania mnyonge in ishara ya ushindi kwa CDM. Dr Slaa na Mbowe big up sana. Haya ni matokeo ya uongozi wenu dhabiti. Haya masilia yote na kiongozi wao akiwemo wanapaswa kuwekwa kando wasipewe hata uongozi ngazi...
Siafiki tsd kufutwa, hiyo yote inatokana na serikali kugundua kuwa tsd ndiyo dira ya walimu kujua haki zao za msingi. kwani wakurugenzi wao huhimiza wajibu tu na pia wanapokea amri toka juu kwakuwa wamepewa nafasi hizo kwa maslahi ya waliowapa ulaji huo.
Ni vigumu kuwalaumu wabunge, lakini si busara pia kuwatetea. Kitu cha msingi hapa ni kujua pesa zinazokusanywa kutoka vyanzo vya ndani na zile zinazo top -up toka kwa wafadhili au serikali kuu ni kiasi gani na zinatumikaje. Ninavyojua mimi nchi hii yote si MZA pekee inakabiliwa na changamoto...
Kipepeo acha ujinga na ushabiki, unafikiri mazungumzo ya CDM na JK ni kwa manufaa ya nani kama si ya watanzania wote including you wanaopenda kuliona taifa lao likiendelea mbele kwa ustawi wa watu wake?. Vinginevyo kama kuna kamisheni unapata kutoka kwa wanaokutuma kuandika ujinga endelea...
Kipepeo acha ujinga na ushabiki, unafikiri mazungumzo ya CDM na JK ni kwa manufaa ya nani kama si ya watanzania wote including you wanaopenda kuliona taifa lao likiendelea mbele kwa ustawi wa watu wake?. Vinginevyo kama kuna kamisheni unapata kutoka kwa wanaokutuma kuandika ujinga endelea...
Kashidye kwakuwa ni mtu wa watu hakula peke yake, angekuwa Dr Kafumu angebeba kwenda kulia DSM kama walivyofanya sherehe ya kumpongeza. Kura wapige wana Igunga, sherehe wafanye watu wa DSM wapi na wapi?
Pole sana, unaonekana uko nyuma ya wakati, kwani viashiria vya nyakati huvitambui. Kamanda Mbowe hayuko kama unavyomfikiria. Ninachojua nuru na giza kamwe havifungamani kwani CCM ni giza CHADEMA ni NURU. Lakini siku zote watu wenye akili timamu huipenda nuru na huitukuza pia. Mbowe endelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.