Umenikumbusha kitabu cha shamba la wanyama,I really love the book as it simply depict the equality btn our govt and it's citizen.mkuu nakukubali umenena.
Pls my thought a now coming true that we don't have Rais na the prime minister!kweli viongozi wa juu serikalini wamelewa madaraka.migomo ndio suluhisho komaa hadj mwisho.mfano:Kenya doctors are highly valued as professionals ila Tanzania tunapumbwazwa eti Amani!Mbona hawatumii hio amani kutatua...
R.I.P Regia mtema.pls I confirm to attend.I hope to be in moro tomorrow from simanjiro where I have postponed my trip to attend the burial of our beloved Regia.
ushauri wa bure kwa serikali;futeni hizo taratibu na michakato coz imedhihriika wazi kuwa haina faida maana imefikia hatua mbaya mpaka katika uhai wa watanzania mahospitalini mnasema ni taratibu serikali na kesho CAG akipita tunasikia mabilioni ya hela yamepotea na maelezo hamna!!!hongereni...
duh!dr bana!!!ndugai!!msomi ***** anachumia tumbo na anatumia masaburi kufikiria na kutoa ushauri wa kisomi na juzi juzi nilimuona tbc akijikomba kwa mukama badala ya kushauri.ndugai yy hata sitaki kusema coz alishaanza siku nyingi,kutoa mke wake wa pili kongwa hosp.na kumpeleka wizarani,jimbo...
ndugu yangu naweza toa vitibitisho humo jinsi hawa watu wameshawishiwa tena na nani katumwa kusuka hii deal ili Ngeleja apata pakutokea baada ya kunuka kila kona nchi nzima.hongera waziri umefanikiwa lakini najua wenzako humu jamii forum na kwingineko wanafurahi lakini wewe binafsi huna furaha...
Nafikiri magufuli apewe uenezi sababu Siku tangu aitwe dr.sio yule mchapaka kazi aliyejulikana ndani ya harass la mawaziri!mh.unakera sana na siasa za Maji taka zenu na zaidi Siku bidi hufanyi kazi unajipendekeza kwa maboss .
Mm ni mwananchi wa kawaida nisifungamana cha siasa kile ila it's true in this context of discussion that we not consulted if u believe like Ur fellow that the constitution is meant for us and not the govt!!!!! Pls it's obvious u will say am a chadema member but we passed our sincere cry to the...
Duh Kama nikuhama nchi wakati ndio huu jamani!juzi tu wameongeza kwa wale wanaotumia zaidi ya unit 50 kwa mwezi tena Leo wanataka nyongeza?mm namshauri Mheshiwa Mhando kwanza asafishe wafanyakazi wake wengi wanahujumu shirika na majina tunayo Kama anataka tutampa then ndio atwangalie sisi...
Duh Kama nikuhama nchi wakati ndio huu jamani!juzi tu wameongeza kwa wale wanaotumia zaidi ya unit 50 kwa mwezi tena Leo wanataka nyongeza?mm namshauri Mheshiwa Mhando kwanza asafishe wafanyakazi wake wengi wanahujumu shirika na majina tunayo Kama anataka tutampa then ndio atwangalie sisi...
Ndugu zanguni wanajf,
Hivi huyu VGL yeye anatumia nn kufikiria au ndani ya masaburi???wabunge wanawake ccm pia na cuf wanatetea ndoa zao hata huyo kilango wa jituu patel
Hongera mh. Machali ukweli wananchi tunaona na tunafuatilia kwa makini sana.ukweli ni kwamba wabunge wengi hasa wa cmm nashangaa wanashindwa kujikita kwenye tatizo badalake wanakalia vijembe.big up
Habari wanajf,
Jamani mimi kama mlezi wa ndugu yangu anayesoma chuo cha sayansi na tiba IMTU,nimejionea kwa macho yangu uozo na wizi unafanywa na mwekezaji wa kihindi kama viginard foundation??chuo hakina hadhi ya university?cha ajabu majengo ni ya NHC,wahadhiri ni wa kitanzania ukiacha wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.