kandoro kila anapoenda anakumbwa na maandamano na ya wamachinga kwanzia mwanza na sasa mbeya kulikoni!kuna matatizo meng sana ya kudili with kama upigaji wa nondo na kuungua kwa masoko!wachen uijana watafute rizik wakizura mnawakamata wazururaji
UDOM,MZUMBE,ARU,SUA ndo nliko apa ndo madudu kwanzia chuo adi uongozi wa wanafunzi wote hususani mwaka wa kwanza hawajapata hela na ni wiki ya nne ao ni wale ambao hawajapata saivi ndo wanajiuza na kulazwa kwenye majani!kwa upande wa wasiokua nao wamekaririshwa SUA amnaga mgomo wala uwez...
Naunga mkono!wez kabisa tr iyo natupa na lyn naamia zantel au sasatel na ukiona ivy ujue kna fisad kanunua hsa au kampun inauzwa na kubdilishwa jina km ilvyo airtel!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.