nimetumia MediaCom mda mref sana.
leo nimepata WizTech mpeg 4,
dish ft 6 lnb ya local na KU ya nigeria na ile ya kenya.
Tatizo nililonalo ni
MAJINA YA SATELITE ZILIZO NA LNB SIZIONI,
NAHITAJ NIONE intelsat 906,
nss 12 e
na Ku pass 7 / 10
kama ilivo kwny MediaCom mpeg2...
nimepata gulf star na dekoda ya Mpeg4.
kwa FTA ni Position gan tapata Chanels Nzuri za Local?
mwenye ufaham anitajie position na baadh ya Chanel nzr tazoweza kuzipata. ktk hili dish dogo.
ni Muda sasa umepita kwa dish za kawaida tulikua tukipata ktk uelekeo wetu huu wa East kuku2mia Ku-Band na C-band.
sasa signal zipo, Picha hatupat.
Tbc
StarTv
Agape Tv
Tv Imaan
Kbc1
Nollywood
naomba mtaalam anisaidie
nina futi 6, lnb 3.
kU mbili
na Cband 1
mwanzoni zote zilifanyakaz pamoja, sasa nikipandsha ile beam napata ku ya k24 na C ya ITV.
nikishusha kdg napata ile Emmanuel hizi k24 na Itv zinakata, na utofaut uliopo kwenye beam navopandsha na kushusha ni inch 1...
hebu niulize leo maana
sijaona badiliko lolote la ki-Digital kwa vituo vya radio, hakuna hata kituo ki1 kilichoongezeka kwenye satelite zaid ni zilezile 12 tulizokua nazo mwaka jana.
na nchi inaradio lukuki...
naombeni freq na symbol rate za Citizen, na Trenet kwny position hii ya local chnl- nilkua na Kbc
na wbs ya uganda ktk KU, sasa zimekata zaid xa mwez na signal zipo
waungwana mnisaidie 3 frequenc za Trenet na CloudsTv, kunawatu wanaziona FTA nimejarjb
Nimepata tv Imman tu. na zile 5 zilizosajiliwa.
Pia nilkua napata KBC1 na WBSTV ktk 'KU' niloifunga chini ya C band yny loko chanel msaada wenu watu wa kukwea mabati ya watu
napenda kufaham hadi leo hii kwenye ungo wangu wa C BAND positition Hii ya Intelsat nayopata ITv. local chanelz zote zitaingizwa hapa au, hadi sasa ni zipi zinazopatkana humo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.