Natumia laptop tajwa hapo juu window Mac os x 10.5.8, kunabaadhi vitu nashindwa kuzifungua na kuinstal kwa mfano nimejaribu kufungua joinAir inaniambia ( there is no default application specified to open the document " ZTE-Join-Air-1.0.rar" ),Nokia PC suite inaniambia ( the movie could not be...
We jamaa ni mkali, nakumbuka nimekusumbua sana katika kuniwezesha niweze chakachua modem hii ya voda,kila ukinisaidia nilichemka labda kutokana na uslow-learner wangu ama machine ninayotumia but this time you got me!yaani kilichokua kinanikimbiza ni gharama zao sasa ni bata na naomba wa-stay...
Mim kwang haya mavitu baada ya kudowload hayafunguki, kila ni kijaribu inaniambia Safar can not open this because there is no application to open it,so hata sielew nifanyeje!natumia window ya Mac os x.
Ok nimdownload hiyo bt imeapia kama virus vle kila nikijarib kufungua inanimbia it is not video file can not be opened,nahisi labda ni window yangu,mwenye kama yangu anisaidie natumia iBook G4 window Mac os x version 10.5.8
Mbona nashindwa download,mi natumia Mac iBook G4,nikufungua hiyo link inaniwekea kibox katka chenye option ya Add to my account,More sharing options na copy file to clipboard kwingine kote kupo inactive.Modem ninayotumia ni vodafone K3571-Z.
we unasema graduate analipwa lak 4!hakuna kitu kama hicho mi nilifanya field mwaka jana graduate diploma alikua anachukua 80elf,advance diploma walikua wanachezea kwenye lak 1 had lak 2,wale wa kwenye machine yaan vbarua walikua wanachukua k2 cha 80elf wote.Kwa urafik jamaa niwanyonyaj...
Yah inawezekana coz kwa mara ya kwanza nimemsikia mtu wa zaman wa CCM kutokukubaliana kabisa na mchakato wa katiba ulivyoenda,ni mzee Kitine nilimsikia Tbc kwenye This week in Pespective,nampenda huyu mzee coz kidole hua anakiita kidole na wala sio moja(anasema ukwel) hata kama issue imevurundwa...
ebwn mi nataka huo mchakuchuo,nisababishie namba yako nikuchek,coz mi ninayo ya voda ila ndo hivyo gharama ukichek bado cjaingia kwenye system basi tabu tupu,serious fanya hivyo!
nilibugi nikanunua moderm ya voda,ina cost sana especially kwa sis ambao hatuko kwenye system.Hivyo nilitaka kujuzwa kama inawezekana kuiflash ili niweze kuweka line ya Airtel coz wadau ndivyo walivyoniambia kua Airtel iko poa,ama mwenye kujua wap naweza pata huduma hiyo!thanks
yaan hapo ndipo alipo ni kera huyo kinyaa i mean mnyaa,yaan wao wajitambue kama zanzibar nch ila tanganyika iwe tu ndan ya muungano,kwa nin isisimame yenyew kama ilivyo wao?Tanganika iwepo ndan ya muungano na nani kama wao hawapo?Kama alivyo sema Lisu wamebakia kujitangazia uhuru tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.