Hongera CHADEMA kwa kuchukua jimbo la arumeru, mmeua big up Nassari, kilichobaki sasa ni kutekeleza ahadi watu hawataki porojokama za CHUKUA CHAKO MAPEMA ilo linazidi kutokea, BIG UP wana Arumeru kwa kuiamini CHADEMA, nina iman na CHADEMA watayafanya yote waliyoahidi i believe in CHADEMA...
Hiii nchi ya ajabu sana sijui ni lini hawa watu wanaokabidhiwa madaraka wataacha kukubali kutumiwa ,,,??????????,especial sehemu kama polisi sijui ni lini watakataa kutumiwa na kufanya mambo kama sheria inavyowaelekeza maana wanatumiwa wanaenda enda tu kama maboya wanatumiwa kisiasa ,,,,, tatizo...
Hawa polisi wanatuliza vurugu wanachochea vurugu, kuna uvumi umeenea kwamba polisi weng wana-beef sana na wanafunzi wa vyuoni kuna polisi huwa tunapiga nao mazoez ya soka waliniambia hivyo baada ya kumchezea faulo uwanjani aka-panic akataka kunivunja mguu akaniambia ndo maana wanatuchukia sana...
This country bwana , watu wanakataaa vivuli vyao mara wanavikubali sijui tutafika kweli....
maana huyu jamaa kuna kipindi alikua anakiponda kinoma sisiemu sahivi kapewa kashavu eti chama kisafi na sifa kibao sa sijui kimebadilika baada ya yeye kupewa shavu??????????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.