Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee s............................. ..............................

Oct 24, 2011
33
4
Hongera CHADEMA kwa kuchukua jimbo la arumeru, mmeua big up Nassari, kilichobaki sasa ni kutekeleza ahadi watu hawataki porojokama za CHUKUA CHAKO MAPEMA ilo linazidi kutokea, BIG UP wana Arumeru kwa kuiamini CHADEMA, nina iman na CHADEMA watayafanya yote waliyoahidi i believe in CHADEMA..... Mfano mzuri angalieni sehemu zenye wabunge wa chadema na sehemu zenye wabunge wa CHUKUA CHAKO MAPEMA tofauti ni kubwa... Cheki mnyika anatembelea VITS
 
Hongera CHADEMA kwa kuchukua jimbo la arumeru, mmeua big up Nassari, kilichobaki sasa ni kutekeleza ahadi watu hawataki porojokama za CHUKUA CHAKO MAPEMA ilo linazidi kutokea, BIG UP wana Arumeru kwa kuiamini CHADEMA, nina iman na CHADEMA watayafanya yote waliyoahidi i believe in CHADEMA..... Mfano mzuri angalieni sehemu zenye wabunge wa chadema na sehemu zenye wabunge wa CHUKUA CHAKO MAPEMA tofauti ni kubwa... Cheki mnyika anatembelea VITS

Hiyo ya kutembela VITS mhhh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom