Ninaombaa kufahamuu kuhusu mipapai isiyotoaa matundaa, ni hali gan inapelekeaa kuwa hvyoo?? Je kufungiaaa gunzii kwa mti kuna saidiaa kutokana na hali hiyoo?
Tafadhaliii mwenye kujua jambo hili.
Msaada sehemu nzuri ya kuwezaa kutoka out kupumzika mazingira yawe kma garden au hotel ya bei ya kawaidaa msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji, kutafuta mtaji wa kufunguaa saloon ya kiume ila sijajua gharama za saloon yenye standard.
Faida zake, makusanyo yake nayabana vipi kwasababu nataka kumewekaa mtu,pia ningependa kujua changamoto za biashara hiyo Ninaomba ushaurii wakuu tafadhalii!
Nahitaji chumba cha kupanga chenye uzio, mita ya peke yake, au isyozidi watu 2, maji ya kutosha na maeneo kijitonyama makumbusho, tegeta tank bovu, mwenge. Bei yangu elekezi mwisho 100000 @ mwezi. My no 0682620200.
Wakuu habari zenu naombaa msadaa kuhusu jambo hili, nimenunuaa simu dukani kwa mfanya biashara tecno cx mpya nimetumiaa mda usiopungua wki mbili na nusu ikaharibika speaker kubwa ya sauti nikairudisha dukani nilipo nunuliaa na wakanielekezaa nipeleke wakala wa tecno hapa morogoro nilipopeleka...
Ni katika kusherekea miaka 50 ya uhuru. Ninatoa ofa ya kula chakula cha usiku na kuburudika kwa mrembo yoyote wa jf atakayekuwa tayari tuwasiliane 0657 93 83 95. Hppy brthday TANZANIA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.