Ahsante mkuu nkoboiboi umemjibu vizuri sana kwani hao akina muongo na uprof. Wake amefanya nn ag wako amekusaidia nn prof. Kajumulo kusaidiana na nshomile wenzake kugawana mabilion ndio elimu inaelekeza hivyo? Kiongozi ni wakuzaliwa akiwa talented sio wez
Ni mda mrefu nimekuwa nikifuatilia michango ya wabunge bungeni kwaukweli huyu mbunge christopher ole sendeka amekuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya ubadhirifu wa mali za umma kwa viongozi wasio waadilifu. Huyu jamaa anastahili kupewa moja ya wizara
Kweli tusihusishe dini na siasa za matusi kuna mpumbavu na mjinga kamhusisha Mtume Muhamadi na Mwl.nyerere nafikiri amewaza kwa kutumia makalio tena yenye kinyesi
Je uzalendo ni nini? Binafsi kuna mbunge mmoja kamjibu mbunge wa kinondoni aliye daikuwa anayetaka kugombea ubunge apitie kwanza JKT ili kujenga uzalendo lakini kiuhalisia kuna wabunge wengi wa chama cha majambazi wamepitia JKT lakini uzalendo wao walio upata na ufisadi na matusi kama Lusinde...
kwa hilo ni uwongo hapo Sita ni sawa na kumwambia mtoto kavae viatu uje tuondoke akienda tu wewe unamkimbia. Kwali hufai kuwa mr. Presidaa utahamishia rasilimali za nchi tabora kweli pia hata wewe ni gamba
wewe usiwe muoga kama ni ukombozi wa wanakusini utaletwa na wanakusini wenyewe sio policcm na virungu vyao tuungane kumpinga huyu adui wa maendeleo ya wanakusini (ccm)a.k.a chama cha majambazi
Kweli mi makuunga mwili Lowasa ni kiongozi mwenye msimamo swala la ufisadi alitolewa kafara watanzania hebu tufikiri ni mangapi ameyafanya ndani ya mda mfupi alioka ktk kiti cha uwazir mkuu? Je kwani prizdaa hakuona hilo la mikataba au tuseme mikataba inafanywa kwa siri bila mkuu kulitambua...
Nikweli kabisa wakati mwingine Watanzania tusiwe kilakitu ni ndio mzee kwani ni kama kuwa watumwa wa mawazo. Kumbukeni wakati akiwa mwenyekiti katika kamati ya kumchunguza Lowasa alikuwa anang'ara lakini after kupata uwaziri akaficha makucha leo anaumwa anajidai anasiri nzito mbona asiseme siku...
Hivi Tanzania tunaelekea wapi kiuchumi coz badala ya maisha kuwa bora yana kuwa bora maisha sasa tunaelekea wapi mafuta yakula pia ya kuendeshea injini bei inazidi kupanda bei ya vyakula juu sijui tutafika kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.