Search results

  1. M

    Mahudhurio ya wagonjwa wa moyo yapungua JKCI kwa hofu ya COVID-19

    Wagonjwa wenye matatizo ya moyo, kisukari, shinikizo la juu la damu, figo na saratani wameshauriwa kuhudhuria kliniki zao bila kukosa ili kuepuka kupata madhara ya kiafya ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha. Rai hiyo ilitolewa jana Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya...
  2. M

    Maandalizi ya chakula cha "karamu" iliyokimbiwa na wageni "waonjaji"

    Alipomaliza kuletewa kila kinachohitajika kwa ajili ya kuandaa chakula cha KARAMU ile, yule Mpishi mkuu msaidizi akafurahi sana. Kisha akawaagiza wahudumu wake waweke kila aina ya viungo ambavyo wanadhani vitanogesha chakula. Na wao bila kutafakari wakatenda kwa kadri kila mmoja alivyoagizwa...
  3. M

    Kilichowapata Kikosi cha Ulinzi wa Rais Ivory Coast tujifunze

    Aliyekua kamanda wa kikosi cha ulinzi wa Rais{ Republican Guards}, nchini Ivory Coast amehukumiwa miaka 18 gerezani kutokana na mauaji ya mwaka 2011 mjini Abdijan. Brunot Dogbo Ble na wengine tisa walipatikana na hatia ya utekaji nyara na mauaji ya wanaume wanne wakiwemo raia wawili wa Ufaransa...
  4. M

    Tetesi: Diwani Halmashauri ya Mji Korogwe aukacha Udiwani

    Kuna habari ambayo bado ni tetesi kuwa Diwani wa kata ya Kilole Korogwe Mji ambaye ni motto wa Mbunge wa Korogwe Vijijini Mh. Steven Ngonyani aka Maji Marefu ameacha Udiwani baada ya kuona hauna faida kama alizozifikiria. Diwani huyo Mh. Thamas au Toma alikuwa ni Diwani aliyechaguliwa kwa kura...
  5. M

    Sakata la mafuta ya vilainishi kwa wapenzi wa jinsia moja Shinyanga

    Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu kuvamiwa kwa shirika lililokuwa likigawa vilainishi Shinyanga Install APP ya Siasa Huru Kwenye Simu yako Kwa Kubonyeza HAPA Wizara imepokea taarifa kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Shinyanga imevamia ofisi za shirika la Jhpiego mkoani humo na kukamata...
  6. M

    Je, Bunge letu linaisimamia au linasimama na Serikali?

    Salaam wadau..nimefuatilia mwenendo wa Bunge japo vipande vipande kutokana na fursa ndogo ninayoipata nimeshindwa kugundua pia kufumbua hili fumbo..hivi nani anamsimamia mwenzie kati ya Serikali na Bunge katika mfumo wa siasa za vyama kushika hatamu katika maamuzi kwa ujumla? Naamini katika...
  7. M

    Ziara za Rais kwa mwaliko binafsi

    Natamani tupate Rais asiyependa kusafiri maana tunapoteza fedha nyingi kuliko zile faida ambazo tunazipata kutokana na Ziara. Kwanini hawa wanaomwalika Rais wasitoe gharama za usafiri na mambo mengine akifika huko? Kwa maana nimesikia Rais wetu amealikwa Australia na Generali mstaafu wa jeshi...
  8. M

    News Alert: Rafu kura za maoni CCM Temeke

    Hapa sasa uwani wanapigwa watu picha na kuandikishwa majina ili watengenezewe vitambulisho vya CCM. Kumbuka hili zoezi lafanyika kwa siri na wanakusanywa watu wanadhani ni vitambulisho vya kupiga kura kumbe ni kadi za CCM zianzoandikishwa kwa ulazima ili mgombea aliyeratibu zoezi hili apate kura...
  9. M

    Msaada wa kitabibu: Mwili kuwasha

    Wataalam. Mwili wangu unawasha mnoo yaani hasa wakati wa jioni nikiwa nyumbani. Sehemu mbali mbali huwa zawaasha sivimbi mwili ila nawashwa kama vile nimegusa upupuuu. Msaada katika hili
  10. M

    Kauli ya JK kwa Umoja wa Vijana Tawi la Vyuo Vikuu si ya kuidharau

    Juzu juzi hapa Rais wa Jamhuri ya Tanzania aliongea na umoja wa vijana wa CCM tawi la Vyuo vikuu hukooDododma. Kwa kweli katika vitu alivyoongea vyenye mashiko ni hiki kimoja kilichowasuta vijana hao "wasomi" kuwa mawakala wa Mafisadi na "Makuwadi" wao pia. Naifananisha na na kipindili ambacho...
  11. M

    Tabia hizi za Wanasiasa Zikomeshwe

    Imekuwa ni tabia kwa Wanasiasa wa Tanzania kufanya madudu na hata tabia za aibu alafu kusingizia ni fitina za Kisiasa. Hata wale waliofisadi wanasema wanasingiziwa kwa sababu za husda za kisiasa. Wapo waliofumaniwa na wake za watu au hata mahawara pia nao wakasingizia ni husda za kisiasa. Tamu...
  12. M

    Wazo huru: Tujiandae Kumpongeza Rais wetu kwa Mafanikio aliyoyaleta Tanzania

    Salaam wadau ! Kama tulivyosikia na kutangazwa na DIASPORA huko Marekani kuwa wenzetu wanaoishi huko wamejichangisha kumpongeza Rais wetu kwa kutimiza ahadi zake kwa aslimia kibao amebakiza 20% tu kufikia lengo, hivyo na sisi tujiandae kwa maandamano na sherehe kumpongeza. Isiwe maendeleo...
  13. M

    Ukubwa wa Maumbile ya Siri Wamkimbiza kwa Mume

    Hii ilitokea huko Arusha mwaka huu mwezi wa pili. Kuna mdada wa mmoja aliyekuwa akiitafuta ndoa kwa udi na uvumba, akaipata kwa mkaka mmoja ustaadhi mwenye umbo la kawaida tu. Kwa uzoefu bi dada alishakutana na wengi wa aina mbalimbali katika maumbile na hajawahi kukimbia wa kukataa...
  14. M

    Balozi Seif - Rushwa kayika uchaguzi ni tamaduni ya CHAMA

    Nimemsikia mwenyewe kwenye taarifa ya habari ya ITV na Radio One eti watafutiwa uwanachama wale watakaothibitika kutumia rushwa katika chaguzi za CCM. Labda sio CCM hii niliyomo mimi ndioRUSHWA haiwezekani kutumika ktk chaguzi. Rushwa ndio uhai Kwa Chama kwa sasa katika kuleta ushindi wa...
  15. M

    Maono: Mwigulu atazirudisha blioni 480 zinazodaiwa kupotea Hazina

    Nimekua na ndoto hii wanajamvi. Lazima atafanya kila jitihada azirudishe kwa mikono ya serikali hizo fedha maana nimjuavyo anachukia mnoo ufisadi kuliko anavyochukia CHADEMA na ndio kigezo cha kuchaguliwa kwake kwenda HAZINA. Source maono yangu tu.
  16. M

    NAPE azungumzia Uwingi wa wanachama wa CCM katika Bunge la Katiba

    Katika habari za clouds saa 12 hii ya leo tarehe 11/2/2014 nape amedokeza kuwa uwingi wa wanachama wa CCM katika bunge la katiba ni kutokana na CCM kuwa na wanachama wengi katika TANZANIA.Inawzekana ikawa kweli au mnaonaje wadau.
  17. M

    CCM ifanyike tathmini ya uchaguzi wa Udiwani uliopita kabla ya uboreshwaji wa daftari

    Nadhani tumeona uchaguzi wa udiwani na changamoto zake. Wengi wao wamejuruhiwa na kesi kibao mahakamani yote ni siasa za nchi hii kwa sasa. Kama somo hapo juu linavyoonyesha, ni kipindi sada CCM kujitathmini kuona hali ikoje katika uungwaji mkono. Kuna kata zimepotea na nyingine zimerudishwa...
  18. M

    Angalizo: Tusilalamikie RUSHWA ni Msingi uliojengwa ndani ya CCM

    Nilimsikiliza vyema mwenyekiti wangu wa Chama Jpili Tarehe 2/2/2014 hasa juu ya suala zima la rushwa ndani ya Chama. Kwa kifupi rushwa imo ndani ya mishipa ya Chama tena imejengeka kwa dhati katika ngazi ya chini zaidi ya Chama. Nazungumzia uzoefu wangu kwa maeneo niliyowahi kuishi na kushuhudia...
  19. M

    Tetesi: Kweli Tutafika kwa mtindo huu!!

    InasemekanaTRA inakusanya zaidi Bilioni 800 kwa mwezi!! Lakini sijui kwa nini hatuna huduma nzuri kwa wananchi. Inasemekana eti sehemu kubwa ya fedha hizi ni kwamatumizi maalum!!! Habari hii ilitoka kwa mwanasiasa na Mbunge wa Chama Tawala kanda ya Ziwa baada ya kuongea na Mkurugenzi wa TRA...
  20. M

    Ahadi za wanachama wa chama cha mapinduzi

    AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja (2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote (3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma. (4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. (5) Cheo ni...
Back
Top Bottom