Kwani mkuu ni conditions zipi ambazo zinaweza sababisha strain ya kirusi ika'undergo mutation hasa zinazohusiana na mazingira ya hapa kwetu Tanzania yalivyo?
Mkuu mi nafahamu sehemu mbili ambazo ni mwanzugi-igunga (tabora) na kapunga-mbarali (mbeya). Ifakara pia huwa nackia wanalima sana mpunga ila cjawahi fikai nadhani wanajukwaa wengine wanaweza kukusaidia na kututajia maeneo mengine pia.
Kuhusu gunia 90 za mchele hapa tuongelee gunia za kilo mia mia hivyo jumla yake itakua kilo 9000. Gunia la mpunga la kilo tisini hutoa wastani wa kilo 55 mpaka 60 za mchele hivyo kupata tani 9 utahitaj gunia 150 mpaka 170 za mpunga kutegemea na mashine utakayo tumia kukobolea iwe ya ku grade au...
Mkuu utakua unazungumzia kilimo cha kienyeji bila lakini kama mkuu hapo juu akipata hekari nne/hekta mbili zilizopo kwenye irrigation scheme na akaziendeleza kisasa unaweza vuna gunia mpaka 120.
Kwa sababu hekari moja inaweza kukupa gunia 30 kwa wastani na hekta yaweza kukupa gunia 50 mpaka 70...
Mkuu, wataalam wa mambo wanashauri njia nzur ya kutuma cover letter ni kuichapa kwa word then copy and paste cover letter yako kwenye uwanja wa email yako sababu kwa kufanya hivyo itamlazimu mpokeaji kuisoma barua yako ya maombi, baada ya hapo iattach pamoja na docs zingine kama cv na vyeti ili...
Dah hii ngoma inanikumbusha enzi hizo nahustle vijijini kwa wasukuma ndani ndani huko asee, nilikua ckijui kisukuma ila mpka nilikijua maana bila hivyo hufanyi nao biashara..
Vp km alijinyoa au alimyoa jamaa ako kitambo na kuzisahau hapo jamaa alipozikuta bila kuzitupa? Asifikirie vibaya tu ajaribu kuangalia na upande mwingine wa shilingi..
kama wewe ni mtumiaji mdogo wa umeme (unatumia chini ya unit 75 kwa mwezi) nenda tanesco kaombe kutolewa kwenye tariff za makato ya service charge utapewa form ya kujaza, baada ya kutolewa huko utaona kuna unafuu mkubwa sana..
Hii simu kwa mara ya kwanza nmeicheki mwaka 2012 january, so nadhan kuna vitu vingi sana vya kiteknologia visha hapen hapa miaka ya kati na ndo maana mkuu chief mkwawa anaichukulia kama ya zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.