Na anawika sana hata nchi nyingi duniani kama kawa.
Atalala anaota leo, nimefurahi kwa kweli
Bora amepata yeye katika hao sababu sio my Diamond...eeeeh
Ndio nimerusha na sitoacha kumshabikia Diamond. Ila ukweli lazima uwe ukweli. Wizkid nae anapiga kazi sana kwa muda pia na tuzo habebadi kihivyoooooi...Davido hayupo nae kabeba...nasikiliza pia miziki ya nchini kwao...kama hupendi songa mbele.
Naona bado unanitafuta utachoka tu na mimi.
Siishi...
Unapotuma maombi unakuwa unajiona unalo, ila tatizo kwa wengi ni katika kujieleza. Hata mtu mwenye top marks za shahada anaweza akawa bomu kwenye interview n.k.
Ndio maana kwa mtu ukiona kila wakati unashindwa ni muhimu kuuliza uambiwe wapi ilikuwaje ujue unapojiangusha.
Hii haitaki ubishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.