Unajua kuna watu wengine ni washenzi sana tena sana wanamtetea kikwete ili iweje mi nafikili huyo ni mdada aliyefanya hivyo au mwanaume mbona mpuuzi hivyo,Nchi imemshinda huyo mpuuzi bado wajinga wenzake mnamtetea,mi naona mtu huyu si rahis wa Nchi hii bali ni MTALII, tuache kutetea upuuzi wakubwa.
unajua
nini cuf ni wanafiki tu hamna lolote mi wananiboa kinoma siwapendi kama nini,wanafiki balaaaaaaaaaaaa,kama lipumba hana akili kama jina lake kabisa.
kuna kazi zimetangazwa huku njombe kuna hotel moja inafunguliwa inaitwa fm hotel wanakaribisha maombi ngoja nicheki box yao alafu nikutumie my e mail lawrencethomas21@yahoo.com
nafasi bado hawajatoa hata za form six sayansi bado wale walioingia mwaka jana ndio wamepelekwa nchi mbali mbali za afrika mashariki mi mmoja wa marafiki zangu yumo humo kapelekwa kenya ila mwaka huu bado,pia nimeongea na ,mshikaji mmoja hivi ni mwana jeshi kaniambia bado so wananzengo tuvute...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.