Nduguzangu wanachadema, Mkumbuke kila mtu amewekeza Nguvu ya namna yoyote kuunda CDM. Na wengine mmeenda mbali na Kuuimarisha Upinzani, Lazima Tuongelee Chama.
Viongozi Wetu Wamekuwa na Maamuzi ya kiuwendawazimu yanayo Dhoofisha Chama, Mawazo yasiyo na Mbadala, Mawazo ya Kukurupuka yasiyo na...
Ajabu Sana, CCM na Serikali mlitakaje kwani! Kwamba Lissu asimame Kwenye Majukwaa kama Paroko anaye ongoza Misa au Kama msanii! Mlitakaje ndugu zangu!
Lissu Yuko kwenye Battle Field , Anatafuta anacho Kitafuta, anapigana Vita, Kwenye Vita hatuchaguliani Siraha, Chochote Cha Kuua na Kupiga Huwa...
Hapana bint listen.. Hapa Tunaongelea Mstakabali Mpana wa SIASA Za Upinzani! Thread Yangu Ililenga Kumweka Mgombea wetu kwenye Nafasi Nzuri Leo Hata Baada ya Uchaguzi! Lakini kama Unaona tunamporomoshea Mawe potezea Muda Utaongea wakati wake!
Watu wenye Akili Za Uji wakisoma kichwa cha Habari Akili zao zinawaza ni MATAGA Huyu. Angalia Rekodi zangu kwanza. Lissu anapaka Kivyesi Siasa Za Upinzani Nchini lazima TUSEMA ili UPINZANI nchini Uendelee Kuwepo Kwa Heshima Yake.
Suala hili la USHOGA Nduguzangu sio tu Litadidimiza CHADEMA...
Waambie wazikatae sasa .. unabwatukia mitandaoni so what? Akili Za kitoto hizi..! Wewe Una Jicho la Kujua Dini Kuliko viongozi wako? Kama Ndivyo Hivyo basi uwe Imam au Sheick mkuu wewe! Acha Kupalilia Mbegu ya Udini wewe!
Mzee Unatukosea, Unatunyima Raha ya Siasa Ndani ya Nchi hii. HASIRA, VISASI NA CHUKI Havijengi chair wetu.
Kuna MATUKIO najaribu Kuunganisha Dots kupata Sentensi Kamili. Na Picha Inaanza Kuja, I am sorry Dears MBOWE ANATUMIKA KUUA CHAMA.
Why
1: Chama Ni Cha Kidemokrasia Lakini hakiendeshwi...
Mzee Unatukosea, Unatunyima Raha ya Siasa Ndani ya Nchi hii. HASIRA, VISASI NA CHUKI Havijengi chair wetu.
Kuna MATUKIO najaribu Kuunganisha Dots kupata Sentensi Kamili. Na Picha Inaanza Kuja, I am sorry Dears MBOWE ANATUMIKA KUUA CHAMA.
Why
1: Chama Ni Cha Kidemokrasia Lakini hakiendeshwi...
AKILI..! Unapokuwa Kiongozi lazima Uwaza both Ndani na Nje ya Box. Ukiwaza tu Ndani ya Box na Kuzipa Kipaumbele Njia zilezile kwenye Vita Ileile Kwa Jamii ile ile lazima Ufeli. Ona Jamaa Hawa waliwahi kuwaza Jambo Kwa mapana Yake..!
Mark2:
3 Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza...
Salaam Mwenyekiti wangu.. Leo Tarehe 5April Najaribu Kuvaa kiatu chako Kwa mtazamo wa Kila kitu Najua Uko kwenye wakati Mgumu Unajipa Mtima wa kusonga Mbele Labda maisha Yatapata Direction.
Nimepitia mitandaoni, majukwaa mengi ya Kijamii NIMESOMA Comments kwenye posts mbalimbali hasa zinazo...
Mzungu... aisee kwenye Inshu za kumwendekeza MZUNGU Mie sijawahi kuwa muumini wa Hilo! Siasa ni Akili safi ya kuinasa mioyo ya watu wako Sio kulalamika Kwa Watu ambao Hao Ndio wameunda siraha dhaifu za Uoga hizi ambazo waafrika tunauana kama Kuku..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.