Habari zenu.
Natafuta used photocopy machine yenye ukubwa na uwezo wa kufanya kazi, kwenye makazi ya wanachuo. Mwenye taarifa zozote na hii kitu tafadhali anipm tuwasiliane.
hiyo ya hand brake kweli! Natamani ingekuwa inajitoa yenyewe, mi mpaka niendeshe kidogo, ndo nakumbuka sijaitoa lol! Ila hiyo ya ATM imeongezwa kachumvi lol!
Natafuta opportunities zilizoko mbeya, familia imehamia mbeya and im looking for available opportunities around. I can handle IT, training, marketing,project management, i have a lot of potentials. Kwa yeyote anayeweza kunipa taarifa tafadhali tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.