Search results

  1. L

    Polepole anafaa kwa Ukatibu Mkuu CCM

    Nchimbi ndio anafaa hapo
  2. L

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Serikali ndio yenye jukumu la kutunza wazee, kazi ya watoto ni kufanya kazi na kulipa kodi ili serikali itunze hao wazee. Hii itasaidia hata wale wazazi ambao hawa kupata watoto watunzwe
  3. L

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    Mimi ninavyo jua hapo kwenye posho pia kuna kuwa na fedha ya malazi, inamaana mheshiwa rais na mke wake watalala chumba tofauti, na kama kimoja vipi kuhusu riceipt ya kurejesha malipo, huo nao ni ufisadi ulio jificha
  4. L

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    Sasa kitanda kimoja kinapata posho mara mbili, tena za kiwango cha juu, imefika muda hilo nalo liangaliwe, mtu au kiongozi akisafiri na mke wake swala la posho litaangaliwa vipi?
  5. L

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    WAMA, shule ambayo ipo chini ya huyo mama Salma, imekwenda kutembeza bakuli kule USA, kuomba msaada wa vitabu, wakati wao wana beba mpaka mnyosha nguo za mume wake kazi ambayo yeye angeweza kuifanya kama angebeba pasi, sababu hana kazi yoyote ya maana katika hiyo ziara, kisha hizo fedha...
  6. L

    CHADEMA will never CHANGE TANZANIA

    Lakini changes zinaletwa na visionary leaders, sio watanzania as a group peke yao, na hao viongozi wenye vision CCM kwa sasa hawapo, wamebaki akina Lusinde ambao sijui wame watoa wapi. Kama CCM wange kuwa makini, huwezi kumpeleka mtu kama huyo kwenye uchaguzi, Mgamba bado wame lala.
  7. L

    Mahakama mkoani kigoma yatoa hukumu ushindi wa PETER SERUKAMBA

    Sasa hao majaji na mahakimu wa bongo, si waanze tu kuvaa magwanda ya kijani, wanasubiri nini, na huko Arusha mpelekeeni huyo jaji zawadi ya gwanda la kijani, ili afurahi zaidi.
  8. L

    Siasa za matusi hazikuanza tu Arumeru? Angalia hapa

    CCM inabidi waanze kuangalia upya vigezo vya watu wa kuwapeleka kwenye kampeni zao, huyu jamaa ni zero, hivi aliongea nini huko jimboni kwake mpaka akapata ubunge? Vitu anavyo ongea not relevant na kampeni za ubunge.
  9. L

    Tangia Jussa amtukane Sita...

    Kwanza huyu Jusa arekebishe maongezi yake katika ile hutuba, Shell ni ya Waholanzi na si ya Waingereza, hiyo inaonyesha jinsi gani asivyo jua mambo, anapayuka tu.
  10. L

    Magufuli hajasema kweli; Anaficha Udhaifu wa Serikali na Wizara yake

    Hodi wana JF, ndio kwanza naingia, lakini nimesha fuatilia hii glob kwa muda wa miaka mitatu sasa, kwa hiyo karibu wote humu ndani nawajua. Nimefurahishawa na michango yenu, hasa habari za Bongo, sababu nipo mbali kidogo na Bongo
Back
Top Bottom