watanzania wenzangu tujifunze kutoka kwa wenzetu wachaga. Shule za kata huko Kilmanjaro zilianza miaka mingi. Leo viongozi wetu wetu wanatusambazia urithi huu wa elimu tunawabeza. Mmeona faida ya elimu k wa wenzetu? Karibu kila mchaga ana kazi ya maana na wala sio ukabila ni elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.