Nyie mnaongea na Marehemu, kwa ujinga huo aliomfanyia mwanamke awe hai hadi leo?? Huyu atakua ashapigwa kipapai au sumu ya Panya ili aachie watu nafasi. Tokea 2016 hajaingia JF
Hiii ni South Afrika, hizo Hiace/Madungu ndio taxi/Bajaj zao na ndicho nilichobaini.
Pili umbile la Mwanadada mofolojia yake imekaa sawia kabisa na wenyeji wa SA.
Afrika imebarikiwa, acheni USHOGA mfaidi uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
Mpira wa Simba na Yanga uko na Umafia mwiiingi nje ya Uwanja. Ushindi wa kujituma uwanjani ni 50% hizo zinazobaki ni mipango ya kando.
Ndio maana unaona wakicheza na Azam au timu za Jeshi ambazo mipango yao mara nyingi inakwama wanapoteana mkuu stuka! Wao kwa wao akili ni hiyo hiyo pia. Simba...
Chukua hatua, fukuzilia mbali hao pimbi kama wako kwenye himaya yako Muungano mchungu sana huu. Mara tuitwe Machogo, mara Kaffir maaaaaaninna Ijumaa, 26/4 tuandae mabango KERO ZA MUUNGANO SASA INATOSHA
Emmanuel OKWI hana mpinzani hapo.
Kwanza alikaaa muda mrefu kwenye ligi.
Pili alipita Vilabu Simba na Yanga kwa mafanikio.
Tatu alikaa kwenye ubora wa kufumania nyavu kwa kipindi kirefu zaidi.
Nne nidhamu ya hali ya juu.
Tumekuwa watu wa kusema; Tulijua tuuu hili litatokea!
Lkn Mkuu watu hao wanaambiwa sana tu tatizo wanaakuwa wabishi! Mf. Hapa JF kuna nyuzi ngapi za kumsihi Mhe. Makonda kuwa na mwenendo usio wa kubagaza watu na kukejeli? Je, hazisomi? Kwanini habadiliki? Mkuu unaambiwa Sikio la kufa haliskii dawa.
Umepita na boda boda kama kishada kwa mwendo wa roketi, lkn umeweza kuchunguza bastora ukaona ina kiwambo cha kuzuia sauti na ukachunguza idadi ya watu kwenye gari. Anyway JF riwaya zimekuwa nyingi
Saa 4 usiku mtoto yuko barabarani halafu mzazi uko wapi?? Narudia Kuzaa si kazi, Kazi kulea! Wazazi tuwajibike. Watoto wengi wapo hapo barabarani hawana hata nauli wanasubiri lifti tu huko majumbani hamuwapi nauli. Halafu unajiita mzazi shiiiiit
Kwa Heshima yako hapa jukwaani, heshima ulinayo nayo kwa WanaSimba huu uzi wa leo umecheza kama Yikpe! Hizi stori waachie kina deep pond kaka ukirudia tunakuvua Nyota zote!
Mzazi Usalama wa mwanao uko mikonoi mwako, na unapaswa kuhakikisha anakuwa salama. Kama ulivyotaarifiwa kuchukua tahadhari ya Mvua kwanini usimpeleke mwanao shule? Kwanini usimtafutie namna mbadala iliyo salama?
Haya umeshindwa vyote umekosa hata 1500 ya kununua mwamvuli kwa mwanao ajikinge na...
Traffic wa KIBAHA mzani wa Zamani,
Traffiki wa Morogoro Mikese,
Traffiki wa Singida mjini kwenye Mawe Pale,
Traffiki wa Bariadi Mjini mmoja wao ameungua Meno.
Hivi vikosi kutoboa bila kupigwa Cheti labda uwe unapeperusha Bendera ya CCM wana njaaa mpaka wanakera!
Lile zee Saidooo alitakiwa kuondoka zamani sana angalau Baleke ama Phiri mmoja angebaki. Jitu lina uchoyo wa kutoa pasi utazan linacheza Draft!
Aende tu akalee wajukuu hata nauli akipenda tutamchangia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.