Awali nitangulize pongezi zangu kwa dhamira binafsi za raisi JPM na waziri mkuu ktk kufumua uozo ambao kwa kipindi kirefu sana ulionekana ni wivu na propaganda kwa wale waliojaribu kuonyesha na kukemea.
Hojayangu leo ni kuwapa uushauri viongozi hawa wakuu pamoja na serikali kwa ujumla juu ya...
Mm naomba kuelimishwa kuhusu hili kombe la FA maana nasikia tuu ligi inasimamishwa kwa ajili ya kombe la FA ni club gani zitashiriki na mshindi atakuwa na title gani?.
Suala la ubakaji bado lipo palepale awe na miaka 4 au 40 akishaingiliwa bila ridhaa yake huo ni ubakaji. Kama ungeifuatilia hii story kabla ya jana pale hili tukio liliporipotiwa awali ungeona unyama ambao huyu binti kafanyiwa. Kushusha umri ni mbinu za kutaka kummaliza mapema mtuhumiwa.
Kwani hao wana habari hawaigopi masuala ya kisheria kama aliyoyaogopa Zitto?,watakapoulizwa wameyatoa wapi watamtaja nani wakati aliyewapa kasema anaogopa sheria kumchukulia hatua?. Angetajawalau robo ya majina ndipo angewapa nguvu wanahabari,nakuhakikishia hakuna mwandishi atakayechapisha hayo...
Upo maeneo gani?,huku Mtwara tunatumia sana mafuta yanayotokana na maganda ya korosho kutibu hilo tatizo,unazipaka mbao kabla haujazitumia na hakuna mdudu atakayeziharibu. Kwa kawaida lita moja ya hayo mafuta uuzwa kati ya elfu 3 hadi elfu 5 kulingana na msimu wa upatikanaji wake. Kama upo Dsm...
Wadau nilikuwa nafuatilia mjadala wa bunge la bajeti hapa kwa wizara ya nishati na madini kwa bahati mbaya mitaa yetu ya Ubungo tanesco wamechukua umeme wao mara tu baada ya Waziri wa Nishati George Simbachawene kumaliza kuwasilisha hotuba yake na dakika chache baada ya kuitwa mwenyekiti wa...
" Ni mweupe"
Nimenukuu hiko kipande mkuu,huo ni ubaguzi wa rangi na kuwadhalilisha weupe. Una maana weupe ni hamnazo kiasi cha kufananishwa na yeyote hasiyejiweza?. watake radhi mkuu una hoja mzito ila haujatumia neno sahihi ktk hilo.
Nyoka mwenye makengeza,hii nchi bana. Huyu jamaa inaekea anajua siri nyingi na nyeti za wakubwa maana anavyojiamini!,hana wasiwasi kabisa maana itakuwa anasubiri tu wamwagie ugali yy amwage mboga. Ngoja tuone mwisho wake ila mara nyingi mtu kama Chenge utolewa kwa Balal style ngoja tushuhudie...
Inasikitisha kwa kweli,nchi ambayo wahalifu wanafanya chochote wanavyojisikia kwa muda wowote bila kumuogopa Mungu wala mtu yeyote. Ifike mahali serikali itamke basi kuwa imeshindwa kuwalinda na iwatafutie hifadhi nje ya nchi wanakothamini utu wa binadamu. Kizazi cha kishirikina uongozwa na...
Habari zenu wadau, mnamo mwaka 2012 kulijitokeza taasisi isiyo ya kiserikali iliyojulikana kama Amana Global Pertnership For Development ambayo kwa wakati huo ilikuwa na ofisi zake kwenye jengo la ofisi za Soko la Makumbusho. Hawa jamaa walijinadi kuwa wanashughulika na masuala ya kijamii na...
Kama ndivyo unavyoamini basi ni dhahili Serikali yote ni ya ukawa maana kamati iliyoleta mapendekezo ina wabunge 19 toka kwa chama kinachoongoza serikali dhidi ya 5 wa upinzani, utakuwa unawajumuisha Mwigulu, Wasira, Mwandosya na wale wote wenye mtazamo huo kama vile akina Kangi lugola, Bulaya...
Ni vyuo vingi vimefanya mahafali siku za hivi karibuni na nina uhakika kila chuo kilikuwa na mwanafunzi bora, sijaona wakipewa promo kiasi hiki au kwa sababu ni kutoka Udsm. Maana ingekuwa kidato cha sita nisingeshangaa maana ni bora kuliko watahiniwa wote ila hii ya kutoka chuo fulani ilipaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.