May be wanastahili kupongezwa. Lakini tafiti zinaonesha kuna uwalakini. Waweza jisomea makala iliyotoka hivi karibuni kwa kufuata link hii: http://rdcu.be/nUwH
Tangazo la wizara kuhusu vigezo vya kutoa mikopo mwaka huu linasema mtu atapatiwa mkopo kulingana na tathmini ya uwezo wake (means testing) katika vipengele vyote. Ukipata 0% ya ada vivyo hivyo itakuwa kwa bumu na vipengele vingine. Labda wabadilishe
Kwanza kila mtu kwenye orodha ya majina yanayosemekana kuwa ni batch ya kwanza waliopata mkopo amewekewa 0 katika kila kipengele. Ni ama hakuna hata mmoja aliyepata mkopo au bodi wameiurupuka na kuweka taarifa zisizo kamili
Hawa bodi wanachanganya sana kwa kweli. Kuna dogo nimeingia kwenye profile yake wanasema did not apply for loan ila ukienda kuangalia kwenye wenye fomu zenye makosa dogo huyo huyo anaandikiwa fomu yake haina makosa yoyote. Sasa unajiuliza inakuwaje wana fomu yake isiyo na makosa halafu waseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.