lakini ebu waislamu tujiulize?hivi kwa akili za kawaida serikali hata madawati inashindwa,ajira ni issue na sasa je uwezo wa kujenga hospitali inauwezo huo?ndio maana ikaona jawabu ni kuyapigia magoti makanisa ili wasaidiane katika kuboresha huduma za jamii.na aliye initiate ili alikuwa "mzee...
jamani wana CDM,Kafulila hatufai kabisa atatumiwa na CCM kukivuruga chama,hao watu mm nawajua huwa wanlewa sana misifa ni kama ZITTO tu ngugu yake.Ni kupiga chini huyo dogo labda achukuliwe na CUF.
JAMANI WADAU WENZANGU,MBONA MIAKA HII KUMEKUWA NA WIMBI KUBWA LA VIJANA KUKIMBILIA MASOMO YA BIASHARA (ACCOUNTANCY) HATA KAMA WANA BACKGROUND YA SAYANSI?jE NINI LOGIC BEHIND?MAENDELEO YA NCHI YANATEGEMEA WANASAYANSI!!!!
Mkuu ujue tatizo wewe una vision wakati watu wengine wana mission,for sure it is a useless coment for person like Mnauye.Tatizo ukiingiza upenzi ktk siasa ni kuharibu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.