Kiujumla inaonekana una wivu wa ajira kwa sababu ukupata kusomea ualimu ambao kimsingi ajira yake siyo ya kutembea na bahasha za kaki kama unazotembea nazo muda huu, so kuwa mtu ambaye ana fikra chanya na sio hasi. Nafahamu unajua kwamba kuna huaba wa walimu nchi na hawa walimu waliohitimu wana...
sasa mwenyewe hutoi sifa zako, kumbuka wako mabinti wanatafutra nafasi kama hizo lakini hawazipati my friend, express your self!!!!!!!!!!!!!!! u gona win the match.
Kweli mimi naikumbuka sana Nyakato kipindi hicho naingia form one mwaka 2002 system hiyo ya viongozi kuwachapa wanafunzi wenzao ilikuwa ni kugusa sababu nia na madhumuni ilikuwa hasa hasa kuwaogopesha wasichana wapate njia rahisi ya kuwapata. Bila ya kusahau cicrambling ya nyuka hata muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.