Hongera sana Mkuu, But take this mwanamke(wife) huwa hatoki kwa tamaa ya ngono anatoka kwa hisia. Akiliwa huko ujue kapenda huna chako hapo. Keep watching her uzuie maafa kama unampenda na mnamalengo.
Shukrani kwa maelezo yaliojitosheleza na hapa nimepata uelewa kwanini asali ya nyuki wadogo ni bei yake ni kubwa kutokana na ubora pia upatikanaji wake.
Kama unafatilia laliga ungeelewa nachomaanisha...mwaka huu Barca hajapoteza mechi na ameshinda mechi zote za away kwenye laliga.ATM amedrop points sana na gap limezidi kupungua na Barca inakuja kwa kasi na wanacheza vizuri ukilinganisha na the rest of teams in laliga soon atakuwa on top of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.