India woman's arm ‘cut off by employer' in Saudi Arabia
India asks Saudi govt to take action against employer who chopped Indian woman hand
India's foreign ministry has complained to the...
Jamani kwanini ukanda wa mashariki ya kati unaongoza kwa kuwa na hifadhi nyingi zaidi za mafuta ghafi na gesi asilia kuliko mabara mengine?
Kwa mfano, hivi ni kweli mpaka sasa hv Tanzania yetu hii haijagundua tu mafuta? maana kila kukicha tumekuwa tukisikia ugunduzi tu wa gesi asilia, vp...
Kama somo linavyojieleza hapo juu, Mh.Lowassa anayesubiri tu kuapishwa mara tu baada ya Octoba 25 mwaka huu anamikakati mizito juu ya suala la uchumi wa taifa hili pamoja na kukuza ajira za watanzania.
Hii ni sekta mojawapo tu ya usafiri wa anga, kati ya nyingi ambazo kiukweli hazifanyi kazi...
Nilikua naangalia mitandao mbali mbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania, Bahati mbaya sijapata mtandao ambao una vipimo vya hili gari hapo chini;
Type: Pick up
Maker: Toyota
Model: Land Cruiser
Year: 2005 to 2013
Fuel: Diesel
Transmission: Manual Transmission...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni tafsiri sahihi ya kifungu hiki cha sheria kilichopo ktk mkataba wa ajira wa mdogo wangu.
Governing Law
'It is the intention of the parties to this agreement that this Agreement and the performance under this Agreement, and all suits and special...
kuna ajali imetokea asubuhi hii katikati ya maeneo ya igulusi na pipeline, basi la hood lilikuwa linatokea mbeya na gari dogo la IT lilikuwa linatokea dar, ingawa sijafaham kama watu wameumia au vinginevyo vile nami nipo ktk safarini ktk basi la abood, ila gari dogo limeharibika vibaya sana...
Ndugu wanaJF "MKASI NA PAMBA ILIYOKUWA IKIFUTIWA DAMU" VYAKUTWA TUMBONI BAADA YA OPERESHENI YA PILI
Kwa mujibu wa mfanyakazi mwenzangu, kuna binti mmoja alijifungua/kuzaa kwa njia ya oparesheni kama wiki tatu hivi zimepita pale hospitali ya Tumbi iliyopo kibaha mkoani Pwani, baada ya kutoka...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ndani ya CDM kuna mapandikizi ambao kiukweli ni mamluki wa CCM, hivi itakuwaje 2015 kabla tu ya uchaguzi ambapo baadhi ya viongozi/kiongozi wa CDM watajiondoa/atajiondoa ilimradi akidhoofishe CDM ktk uchaguzi hasa uchaguzi wa rais, hivi ni taadhari gani...
hiki ni kiwanja kilichopo maeneo ya Misugusugu - KIBAHA upande wa kushoto kama unaelekea DSM.
umbali:- ni kilometa 1 toka morogoro road ukubwa:- ni ekari 2 (na inazidi kidogo)
hati/offer: hakina (hakijapimwa)
bei: Tshs Milioni 18 ( hakuna dalali)
NB: kipo karibu na bomba kuu la maji umbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.