Search results

  1. Jomla

    Ufahamu umwagiliaji wa matone (drip irrigation system)

    Acheni kudanganya watu,roll ipi hiyo ya mita 2000 inauzwa 1.8M?
  2. Jomla

    Ninamiliki kituo Cha mafuta, mshindani wangu anauza Sana kuliko mimi. Nini nikifanye kuongeza mauzo na wateja

    Kuna kitu kinaitwa “Ongezeko la thamani “ ,hichi ni kitu pekee katika biashara yeyote inayoanza ni lazima kuwa nayo.Ongezeko la thamani huonesha ni kitu gani cha kipekee katika biashara yako kinakutofautisha na biashara zingine zinazotoa huduma au kuuza bidhaa kama yako.Mfano kama wewe wa kituo...
  3. Jomla

    SoC01 Baadhi ya vitu nitakavyowafundisha wanangu kabla ya kifo changu

    Wabongo tunacopy alafu tunajidai tumeandika sisi na kura tunataka [emoji1373]
  4. Jomla

    Wakuu ushauri wenu ni muhimu, nimefilisika

    Kiauhalisia biashara nyingi si rahisi sana hasa mwanzoni,kikubwa unachotakiwa kukifahamu ni kwamba ni vyema wakati unaanzisha biashara uwe umejiandaa kisaikolojia wewe kama mjasiriamali maana biashara inapofeli ni kwamba wewe mmiliki binafsi ndo umefeli lakini si biashara imefeli,wakati...
  5. Jomla

    Hivi kwanini matajiri wengi huwa na urafiki na matajiri wenzao tu

    Unaambiwa "your income tends to be equal to the average income of your five closest friends"
  6. Jomla

    Wale Graduate mlioweza kujiajiri mlitumia mbinu (njia) kuweza kujiajiri?

    Tatizo ni kwamba Most of graduates tunashindwa kuwa wabunifu,katika kipindi hiki ambacho hata wafanyabiashara hali sio nzuri sana, ni lazima nasisi graduates tutumie akili nyingi pia kwenye kutafuta kazI hasa kama hauna connection. Tunalalamika kwamba kazi zinatolewa kindugu au kirafiki lakini...
  7. Jomla

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Tuwasiliane kupitia 0752022108,tupo arusha na tunatengeneza hizi liner kwa gharama nafuu.
  8. Jomla

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Kwa arusha kuna sehemu moja ambayo najua hawawezi kukosa assila mkuu...kuna kampuni ipoopposite na msikiti wa ngarenaro pale kwenye sheli ya camel kuna duka lina itwa daymo trading company ltd,wanauza mbegu za aina zote pamoja na kufunga drip irrigation system,greenhouses na dam...
  9. Jomla

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Liner ni nzuri sana katika mabwawa kwani hupunguza upotevu wa maji katika mabwawa ,huwa zipo zenye thickness ya 0.5 mm na 1mm,liner huuzwa kwa square meter ,Liner huunganishwa kwa mashine maalum kama blower,extrusion machine na plastic welder na pia machine hizi zipo na kusema ununue kwa ajili...
  10. Jomla

    Mrejesho: Forex ya Ontario

    Hakuna haja ya mrejesho....nyie hamuiamini forex alafu kila siku mnataka mirejesho? chakufanya ni kufanya kama hujawahi kuisikia alafu endelea na michakato mingine
  11. Jomla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    kiukweli mkopo asimia kubwa wanaangalia shule mtu aliyosoma o-level,kama mtu alisoma shule ya private o level wengi wao wanapewa 0% yani unapewa vyote kasoro ada...ila kama alisoma serikalini inategemea na bahati yake...ila kama alisha pewaga mkopo alafu akaacha chuo huwa kuna percentage flan ya...
  12. Jomla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    We komaa apo ENG 6 acha mbwembwe...kitaa tunapajua sisi.
  13. Jomla

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    We kata baro ,danganya umemaliza miaka ya 90 wakati baanda anakusubiri kwenye engineering ethics SEM 7 pamoja na Avitus kwenye ergonomics SEM 8.Watakapo kupiga vinu vya nyuklia ndo utajua umemaliza 90 au utamaliza 2018 mungu akipenda.
  14. Jomla

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    We mkata baro acha kudanganya watu eti umemaliza 90s......Kaza mzee 2018 siyo mbali..una Ergonomics SEM 8 inakusubiri pamoja na Engineering ethics SEM 7 wewe..We sema alikuwa kijana wakati anakusubiri kwenye AE 420
  15. Jomla

    Wataalam wa kilimo tusaidieni kwa hili

    uwezekano upo mkuu... hali ya jua Kali au mvua nyingi huweza kuathiri ukuaji wa mazao kama mboga mboga kwani mboga huhitaji tu kiasi fulani tu cha maji ili kukua vizuri.. Ili kuzuia hili greenhouse hutumika... green house huwa na special cover ilinaloweza kupitisha kiwango flani cha mwanga na...
Back
Top Bottom