Search results

  1. B

    The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

    Umetisha mkuu, watu walishaisahau hiyo! inasubiriwa season 10 sasa.
  2. B

    Dodoma inahitaji mabadiliko ya kifikra

    Wakuu kila tatizo lina chanzo,kwa hapa dodoma chanzo hicho ni elimu duni,kwa mkoa mzima utapata shule chache sana za secondary ambazo ni za uhakika...hivyo ni wakazi wa chache sana wanaopata fulsa ya kusoma kiuhakika wakawa revolutionalists,.. Hali hi pia imesababishwa na watawala wa nchi yetu...
  3. B

    Are you In? Oktoba 5, 2012.... SIKU YA KUWASOMEA WATOTO VITABU

    Hongereni sana wakuu kwa hii movement...i can tell the power of reading books kwa watoto,coz huwa nashangaa sana kuna hadithi za dini baba alikuwa anatusomea(mimi na mdogo wangu) ni muda mrefu sana umepita lakini huwa sizisahau,lakini pia ilinijengea sana hurka ya kupenda kusoma vitabu mpaka...
  4. B

    Kati ya Dr Jakaya au Dr Slaa nani Maarufu?

    si kila kitu tulinganishe na marekani,ni asilimia ngapi ya watanzania wapo kwenye hizo social networks??...huko vijijini watu hawajui hata hiyo "Twitter" ni nini!
  5. B

    wadau wa series tusaidiane hii kitu..

    Mkuu missing nimeiona lakini mission zao si kali sana...binafsi sijaikubali sana!
  6. B

    wadau wa series tusaidiane hii kitu..

    Pamoja sana mkuu,bahati mbaya sikuuona huo uzi!!
  7. B

    wadau wa series tusaidiane hii kitu..

    kati ya "prison break" na "24" ipi nikali kwa maoni yako??
  8. B

    Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

    So sad,thread imegeuzwa kuwa ya mipasho!! tena within GT's teritory??
  9. B

    Jimbo la Kongwa lina mbunge au kivuli?

    mkuu,hakuna kitu pale,yule jamaa sidhani hata kama anakumbuka kuwa yeye ni mbunge!
  10. B

    Seriously on search.....only serious respondents are welcomed..!

    Ooh!mkuu thanx for such observance! but lets keep it on..pamoja sana!
  11. B

    Seriously on search.....only serious respondents are welcomed..!

    Helo wanajamvi,salute sana kwenu na poleni kwa majukumu!! IM SERIOUSLY LOOKING FOR A COMMITED FEMALE FRIEND....! Im 24yrs old(male),Tanzanian and student in one of the university found in Daressalaam...black is my color and im christian...height is average(160cm)...WHY A FRIEND???...As per my...
  12. B

    JK kwenda kumpokea Prof. Lipumba

    duuh mkuu hiyo tarehe niaje aise..mbona sikunyingi sana...mwaka juzi?
  13. B

    Mr. President, your response to doctors' strike is tepid!

    salute bro for such a very intellectual message to mr.president,my wish was to see if our leaders care,but surely i can predict what is going to happen by the time mr.president come back...very harsh decisions will comeout...this is our country jamani...
  14. B

    Nimeshindwa kumtabiri

    Bro!this z a bit serious,challenge za kimaisha esp from the one u love is ver important!...smtms ina bore mtu kukubar kila kila kitu unachosema,i think sunshine1 ameongea vitu vya muhimu so try to observe yy ana fall kwenye category ipi.hata kwenye hiyo ya nne,anaweza change coz behaviours are...
  15. B

    Room for rent...!

    waungwana habar za asubuhi,im university student,..natafuta room la kuishi sehemu yoyote near MUHIMBILI...If u knw any plz help me or ni_PM
  16. B

    Seriously! I want to join freemasonry..

    bro!turn to God and pray seriously,u may be granted watever unataka..!
Back
Top Bottom