Acha ushamba ndugu yangu,huyo ni mpnz wako na isitoshe mnaaminiana,mnapeana denda ije kuwa mswaki?hakuna madhara yoyote bro.wasi wasi wako2 ilimradi wote muwe wasafi na waaminifu!
Si ndo hapo suala ni kuona majina then ndo mpango mzima,pia naomba msaada wa kufahamu wakala wa uchukuzi na usafirisha wanapatikana wapi hapa dar es salaam?
yeah 4 sure jiendeleze kidogo jitahidi uwe na angalau diploma itakuwa poa,hapo ukienda fanya kazi utapatashida sana kwani wengi ni wenye degree au diploma jiendeleze mtu wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.