Search results

  1. T

    Wezi wa mitandaoni

    Angalia kuwa makini unaweza kuta gaidi.
  2. T

    Hii ofa mpya ya airtel ikoje

    Hamna ki2 spidi ya kawaida sana kuna rafiki yangu kanunua jana,ila kuna muda ilikuwa inamsumbua maana network iko down na anakaa town!
  3. T

    Unaweza kutumia mswaki wa mpenzi wako?

    Acha ushamba ndugu yangu,huyo ni mpnz wako na isitoshe mnaaminiana,mnapeana denda ije kuwa mswaki?hakuna madhara yoyote bro.wasi wasi wako2 ilimradi wote muwe wasafi na waaminifu!
  4. T

    Kuitwa kwenye intaviu NHIF

    Si ndo hapo suala ni kuona majina then ndo mpango mzima,pia naomba msaada wa kufahamu wakala wa uchukuzi na usafirisha wanapatikana wapi hapa dar es salaam?
  5. T

    procurement and supply

    yeah 4 sure jiendeleze kidogo jitahidi uwe na angalau diploma itakuwa poa,hapo ukienda fanya kazi utapatashida sana kwani wengi ni wenye degree au diploma jiendeleze mtu wangu.
  6. T

    Tangazo la kazi

    Aisee shukrani mkubwa kwa tangazo.
Back
Top Bottom