Bila ukristo hata wewe mtoa maada usingekuwa unaishi. Mngechapana nyinyi mpaka mkaisha. Mungu awasaidie hasa wewe mleta maada usiyeelewa hata unaachoongea.
Siwadharau lakini, sioni hoja ya msingi ya kuihusisha serikari mambo ya dini. Wanaweza kufanya harafu wakaiambia serikari wameamua nini. Ilimradi wasiingilie katiba isiyokuwa na dini.
Nionavyo mimi
Muuliza swali ulitakiwa utoe hoja kwa kuanza na maelezo ambayo katika hayo anaona kuna utata na kisha kupitia ushahidi wa maelezo yako uulize, je kutokana na ushahidi huu mkubwa alikufa natural death?
Duh kweli wewe siyo mtu mzima, na kwa taarifa yako jamaa amepatia.
Kama ulikuwa hujui leo jua, ujerumani ina raisi na alishawahi kuja tanzania miaka kama 2,3 iliyopita.
Nenda google tafuta ujue mambo. Na kwa kukuongezea Israel nao wana raisi. Acha kuongea mambo ambayo hujui. Unamjua...
Truly speaking TBC wanaboa. Sina imani sana kwamba ni television ya Taifa au ya serikali iliyoko madarakani. Kuhusu maandalizi ya vipindi labda tuwaundie tume. Infact wanaogopa yaliyomkuta Tido.
Truly speaking TBC wanaboa. Sina imani sana kwamba ni television ya Taifa au ya serikali iliyoko madarakani. Kuhusu maandalizi ya vipindi labda tuwaundie tume. Infact wanaogopa yaliyomkuta Tido.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.