Anawambia wafanyabiashara atakae wakwamisha katika harakati zenu za uwekezaji niambieni moja kwa moja haikupita sekunde anapiga mkwara Manji asiwekeze coco beach. Halafu wafanyabiashara wakapiga makofi, nikabaki na mshangao.
Hii nchi watu wake wengi ni wajinga kiasi kwamba hawaelewi mbunge ni nani na kazi zake ni zipi,? Najaribu kutafuta sababu ya watu Musoma vijijini kuichagua ccm tena baada ya kuwaletea umasikini kwa miaka nenda narudi. Hili ni jimbo masikini kabisa katika Afrika.
Jews wa Ufaransa wanashambuliwa na biashara zao pia. Usiwe zoba ni conspiracy theory mara nyingi ni hoax kwa ajili ya kuwapumbaza wajinga. Sensa zote duniani zinathibitisha wajinga ni wengi kuliko werevu. Ndio maana mwaka huu sikupiga kura kwa sababu nilijua wajinga watashinda kwa sababu ni...
Humjui Mawazo hivi unajua matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa mapema mwaka huu kwa mkoa wa Geita CCM ilipigwa chini? Unajua ccm imeshindaje uchaguzi mkuu mwezi uliopita mkoa wa Geita? Tafuta majibu ya hayo maswali ndio utajua kwa nini Mawazo ni tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.