Hii ni zaid ya ndege.Mi nilifikir ni ile meli ilyozama zanzibar imetolewa! haya sasa kenya,Ug,Burnd na Rwanda mki2chokoza mmekwisha,2na B100 ya kivita.
Habari zenu wanaJF.
Mimi nina tatizo la mapigo ya moyo kwenda haraka haraka sana, kuchoka bila ya kufanya kazi na nikifanya mazoezi kidogo hali inakuwa mbaya, nahema sana.
Nimefanyiwa vipimo vya moyo ECG na ECO, Regency na KCMC nimeambiwa moyo hauna tatizo. Ugonjwa huu umeanza tangu 2003...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.