Siasa za ndani ni nyepesi sana maana watanzania hawajui wanataka nini? Wajitegemee ama waendelee kupata misaada. Za nje wazungu walizoea kuwaandaa vibaraka wao sasa mwaka huu ni tofaut hakuna kibaraka wao maana mikataba yao itageuzwa geuzwaa waende kwa kweli magu ni jembe
Serikari ni taasisi na kila mtu anawajibika kwa nafasi yake hatuna shida kivileee maana hata hyo mikopo wanayo tupa huwa hawamaliz hela zote asilimia 47 hutoa asilimia 20 hivo hata waende tu tunahitaji kuwa huru maswala ya kutupa mapesa alafu turuhusu ushoga waende tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.