Hatimaye sitofahamu inayo endelea kati ya WANAFUNZI na UBALOZI na SERIKALI kwa ujumla nchini msumbiji,wanafunzi hao waliamua kuhamishia makazi yaoubalozi wa Tz uliopo katikati ya jiji la maputonchin msumbiji, Wanafunzi hao wanadai mpaka sasa hawajajibiwa wala kutoa tamko lolote la kimaandishi...
Inasikitisha kuona hapa tz mwanafunzi ananyimwa mkopo wakati serikali hiyohiyo inamgharamia mwanafunzi mmoja TSh 20,525,000/= kwa mwaka hapo nchini msumbiji. Kwa habari za kuaminika nilizozipata zinasema kuwa wanafunzi hao wa kitanzania ni 29 waliopelekwa chini ya mpango wakubadilishana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.