nashukuru sana MIZIZI hicho kitanifaa nawezaje kupata nakala hiyo mi nipo dar actually kitabu hicho kina title human rights in tanzania selected cases and material published 1997 na CP MAINA.
wanajf mi natafuta nikinunue kitabu cha human rights in tanzania cha chris peter maina nimezunguka maduka la dar es salaam printers, tanzania publishing house,scolastica bookshop bila mafanikio yeyote anayejua kitabu hiki kinapouzwa anifahamishe nikinunue au aniuzie namba yangu 0713 747 679
yap na mimi nilikuwa na mawazo hayo ! tunaomba wana jf watushauri kulingana na jinsi wanavyoona trend ya soko inavyokwenda, au kama inawezekana vyote kusomwa PGDL & LLM simulteneously pamoja na advantages na disadvantages zake pamoja na kutupa testmonials za successive key people.
hivi karibuni nimeona kwenye web ya heslb kwamba equivalent entry candidate ambao hawasomi ualimu na sayansi siyo eligible candidate kukopeshwa elimu ya juu nauliza wanajf nimeelewa sahihi ? binafsi sasa nasoma diploma ya sheria natarajia kusoma LLB mwakani je nitapata mkopo? na kama ctapata...
namimi naongeza kwamba ni sahihi kuwasiliana na wataalam kabla ya kufanya biashara yoyote maana cku hizi usanii ni mwingi kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoifahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.