Wanawake wakubwa akili zao tayari zimetulia,hawa wapenda tiktok wanakuwa bado wako tuisheni ya maisha.
Kila kitu wanajua,ni ubishi na kuchallenge hata vitu vilivyo wazi ilimradi waonekane na wao kuna input yao kwenye mahusiano.
Na kama wote tunakipato kwanini mnataka huduma kama vile ni wake...
Yaani wanawake ni viumbe dhaifu ndio maana wakiombwa wanatoa!? Basi sawa,naona mleta uzi hujawajua vizuri wanawake na wanaume. Haswa hao single mamas,Wana mengi hujayajua achilia mbali hizo stori unazozisikia vijiweni.
Sio shabiki wa Ali Kiba. Ungekuwa shabiki hakika ungejua yanayoendelea kuhusu yeye na wasanii wake. Acheni mambo ya kuchafuana namna hii,aliyekutuma hakukupanga vzuri dogo.
Mazee unaandika kwa staili ya aina yako ujue. Sasa kama hutaki tena kimasihara,umebadili maana nzima ya uzi na kichwa cha habari. Si kesi,wewe kwasasa mpotezee. Huyo atarudi mwenyewe na majibu mazuri na utakula kiulainiiiiii sana. Wahi seminars mzee baba.
Umeimbisha na ukapewa majibu,haijalishi mazuri au mabaya,hapo masihara hayapo tena. Tatizo mleta mada hukuelewa ule uzi vzuri na mko wengi sana mnapuyanga mbali na maana halisi ya masihara.
Tatizo hujaweka wazi,hizo timu zilikuwa zinaongoza zikiwa zimecheza mechi zaidi ya wanaofuatia au kwa idadi ya mechi sawa?! Pia weka wazi nini kilitokea miaka hyo kusababisha hao walioongoza kushindwa kubeba ndoo. Kisha ndio uifananishe Liverpool ya sasa na hayo mazingira kabla hujafunga mjadala...
Haina haja. Yeye afanye yake na sio kuwatafuta watu ili aonekane mwema. Kwenye Press conference alisema "kuna wasanii weng watashiriki ila nmeambiwa nisiwataje majina,tena meneja babutale kaniambia hadi Ali Kiba anataka kushiriki". Sasa wasanii hukutaja majina,huyo mwingine unamataja wanini kama...
Nilichogundua hawa viumbe wakiwa wapweke,wanamaamuz ya ajabu ajabu sana. Wanaume kuna Mpira,pombe,washkaji,marafiki wanaweza kukusaidia hata kimawazo kukutoa huko. Ila hawa viumbe hawana mbadala/anayekaribia mbadala km hapo juu. Wao suluhisho ni mwanaume mwingine tu.
Bodaboda nao ni wanaume km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.