Yaani labda Mh Rais asifanye ziara mkoani manyara hususan babati,hilo bango nitakalobeba lazima mh Rais ataniona tu,nitahakikisha kufanya kila litakalowezekana mkuu wa nchi hii anione,
Siku hiyo ndio siku yakumwaga ugali potelea mbali......
Migodi ilifungwa kwa barua maalum ambayo ilikataza kazi ya uchimbaji madini katika migodi husika mpaka muafaka utakapo patikana,lakini cha kushangaza hawa jamaa wamedharau agizo hilo huku serikali ya wilaya ya babati ikibariki haya kwani mkuu wa wilaya alipewa nakala ya barua yakusimamisha kazi...
Tulipeleka malalamiko yetu kwa kamishna wa madini kanda ya kaskazini,maamuzi aliyochukua kamishna ni kufunga migodi yote ya mchanga mpaka tutakapoelewana na hawa wenye magari ya kubeba mchanga,lakini cha kushangaza baada ya kamishna kuondoka waliendelea kuchimba mchanga kwa maana ya kwamba...
Hapa babati serikali inapoteza mapato mengi sana kwenye sekta ya madini hususan mrahaba wa madini ya ujenzi ikiwemo mchanga,kokoto,mawe,matofali nk.....
Wafanya biashara wamekuwa wakijibebea bure kabisa bila kulipia chochote zaidi ya ushuru wa halmashauri ya wilaya huku sisi wenye leseni halali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.