Natoa shukrani zangu za dhati kwa wana Jf kwa post safi ambazo sio siri kwa hizo nikapata hamasa kubwa kuhusu ule uchaguzi 2005 . Na sikuishia hapo niliomba nafasi ya kusimamia na nikapata. Uchaguzi ulienda vizuri sio siri ila kwa sisi wasimamizi kata ya UBUNGO walitufanyia ndivyo sivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.