Habari zenu wakuu, nina shida kidogo nahitaji ufumbuzi. Miezi miwili iliopita nilinunua gari toka Japan (2001 Land Cruiser Prado) na kwa sasa limeshafika na nimeanza kulitumia. Tatizo ni kwamba, limekuja na funguo mmoja tu ambao ni Master Key. Kwakuwa nina uzoefu wa siku nyingi wa magari...
Natafuta Laptop iliyo katika hali nzuri sana, processor core i3 au zaidi. Budget 500,000/= malipo leo leo kama mzigo upo vizuri. 0716-904626, nipo Arusha!!
Natafuta Laptop iliyo katika hali nzuri sana, processor core i3 au zaidi. Budget 500,000/= malipo leo leo kama mzigo upo vizuri. 0716-904626, nipo Arusha!!
Wakuu wapi ntapata mashine ya Diagnostic kwa huku Arusha? kuna taa ya check engine ya prado imewaka sasa garage niliyoenda leo haina hiyo diagnostic computer. 0716-904626
Wakuu wapi ntapata mashine ya Diagnostic kwa huku Arusha? kuna taa ya check engine ya prado imewaka sasa garage niliyoenda leo haina hiyo diagnostic computer. 0716-904626
habari zenu wakuu. natafuta simu tajwa hapo juu iliyo na specifications zifuatazo. iwe Brand New Sealed kwenye box, 16GB Capacity, color Silver, Factory Unlocked, na ya bei nafuu. kama unayo au unaweza kuagiza kutoka nje kwa bei nzuri tafadhali tuwasiliane ASAP kupitia 0783115545..
A large residential property with all the necessary amenities is available for letting at very reasonable terms. The property has sufficient rooms suitable for use as an Office, Supermarket, Shop, Dispensary or Residence. It can also be converted into a Guest House.
Rent: 350,000/= Per Month...
Baada ya kushindwa katika game kwa muda mrefu, hatimaye kampuni ya simu za Nokia imedhamiria kuamisha mzigo kwa Microsoft kwa kiasi cha Dola Billion 7.17 (11.8 Trillion TSH)..
Microsoft to Buy Nokia's Device Business in Deal Worth $7.17 Billion
Correction: An early version of this story...
wakuu nina playstation 3 na CD zake kama kumi ila zote za kuazima natakiwa nirudishe jumatano, je nitawezaje kuziBackup kwenye Hard Disk ya Playstation ili niweze kutumia badae? capacity ya hard disk ni 120gb. nashkuru
iPad 32GB (WiFi + 3G), firmware 5.0.1 application zaidi ya 70 kwa bei ndogo. ni nzuri kwa matumizi ya ofisini, emailing, gaming, social networking na vilevile ni unlocked inaingiza line mitandao yote. nimeitumia ofisini miezi miwili nanusu bado ipo safi sana. bei 720,000/= nitafute (0788745656...
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha?? na zinaRange kwenye shilingi ngapi?,,,nashkuru sana..
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha??,,,nashkuru sana..
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha??,,,nashkuru sana..
nauza iphone 3gs 16gb kwa 400,000/=, used for 1 year haina tatizo na bado ipo katika condition nzuri sana,,inatumia ios 4.3.3 jailbroken and unlocked, with 80 pre-installed Apple Applications, Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.