Du Pugu yetu, mimi nilikuwa pale miaka ya 1996-1999 nawakumbuka wauza chai za jioni mama Juma na wengine, Babu muuza samaki jina nimemsahau. nzoa, mama wa biology, nakumbuka pia mechi ya Man na Bayarn tulitoroka wengi shule.
anywhy shule sasa imechakaa, imevamiwa na wahuni na kuipola ardhi
s
We Mwongo, labda ukoo wako ndio unatabia hizo, maana katika kukua kwangu sijawahi ona hayo unayoyasema. Watanzania wengi tunajali utu ha heshima zetu haya unayosema ni tofauti na utamaduni wetu. Research nyingine bwana kazi sana sijui kama unaelewa maana ya research kwani nimesikia watu wengi...
I was in Stella Maris Hostel at that day "nikihudhulia semina fulani kuongeza kipato" ilikuwa jioni na no body believed what is happening. kutokujua kuogelea kwa watanzania wengi ni tazizo na tumeona yaliyotokea zanzibar na kwingineko. many of us failed to offer help to him, beach boys nao...
Bila shaka kabisa hiyo ya kwako. many people think a woman can get pregnancy after sexual penetration, this is NO. if u ejaculate in women parts and get access to vaginal fluids then a pregnancy can occur and other women washes man dudu and wash themselves also she may get pregnancy in these...
Be carefully with kids, take necessary precaution to any medication. consult people with who are professional. kama ni kilimi go to Muhimbili they are experts in ENT don't go any other places, they my be experts BUT poor in Anesthesia and equipments
Du wanafunzi wenzangu PUGU BOYS wazee wa fungus kweli miaka imeenda, wenzangu wa miaka ya 97 mtakumbuka neno ''DOCEBIT VOS OMNIA'' lilipoleta ugomvi na wenzetu dini fulani. tutafutane jama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.