Search results

  1. N

    Kikwete VC mpya UDSM

    Rule of Man against Rule of Law.
  2. N

    Diwani wa CCM Arusha kuhamia CDM imekaaje?

    mkuu vp, mbona hamuendi peripheral areas kufungua matawi? mfano kata ya Terat, chadema bado sana.
  3. N

    Madaktari Walio Katika Mafunzo MNH Wapewa Barua ya Kufukuzwa Kazi

    wanalipwa 80 per cent ya mshahara wa daktari.
  4. N

    Diwani wa CCM Arusha kuhamia CDM imekaaje?

    Mwalimu Mawazo hajawahi kuwa chadema, alikuwa diwani kupitia TLP akajiuzulu kaenda ccm kawa diwani 2005 hadi leo. Ila kakiri kuwa anakubali sera za chadema, tatizo anatamaa ya shilingi.
  5. N

    Kijana apiga mbizi kutekeleza agizo la Magufuli!

    hii kweli na si dharau. Wengine wamefali drs la saba, f4 na f6. Rafiki zangu wengi walio feli wako polisi, wakuu wa idara mbalimbali.
  6. N

    Lema azidiwa ghafla, alazwa Selian Arusha

    eti? Unamaana gani!
  7. N

    Nishati ya kutumia majumbani

    Tumia kuni, magunzi, au kinyesi cha ng'ombe.
  8. N

    Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

    fanyeni mpango wa kurusha live.
  9. N

    Hatimaye Hamad Rashid, Shoka Hamis na wenzao wawili wafukuzwa CUF!

    Mkuu Shibuda hana sifa ya kufukuzwa kwa sababu hajapewa CHEO/UONGOZI katika chama.Wanaofukuzwa ni wenye vyeo ndani ya chama.
  10. N

    Hatimaye Hamad Rashid, Shoka Hamis na wenzao wawili wafukuzwa CUF!

    kumbe katika chama cha siasa ukisema ukweli juu ya mkubwa wako huna chama. Kafulila kamkosoa mbatia kapata kibano naye Hamad Rashid kamkosoa maalim Seif kapata kibano. Watakaofuata ni LOWASA na ZITTO. Mchakato unaendelea wanajamvi.
  11. N

    Taasisi Ipi inaogozwa na Mama Obama kule US na Ipi Iliongozwa na Mama M. Nyerere?

    mrs. Obama anaujasiri sana, isitoshe ni mwanasheria.
  12. N

    Ismail Jussa amtukana Sitta, Nyerere na wa Tz Bara!

    Bungeni Lissu alitukanwa na kukashifiwa na wabunge wa Bara na Zanzibar kisa kazungumzia aina ya muungano tunayoitaka. Sasa ukweli unaanza kujithihirisha.
  13. N

    2012: Arusha tutaendelea kuwa majasiri wa kupinga uonevu - Godbless Lema (MB)

    dogo acha unafiki. Mbona tz tunapokea misaada toka uingereza na marekani, unataka kusemaje au kile kiwanja ulichorubuni maeneo ya BURKA kinakuwasha.
  14. N

    2012: Arusha tutaendelea kuwa majasiri wa kupinga uonevu - Godbless Lema (MB)

    eneo la kaloleni limeuzwa kwa wale wanaojiita WAWEKEZAJ wala sio maendeleo. Nje ya jiji maeneo kama lemara, uswahilini, sinoni, sokon, engosengiu, muriet, murumbo, mkonoo, nadosoito, terat, njiro nk. Maeneo ya jiji la Arusha maeneo mengi yako wazi mengine ni mashamba tena hayalimwi kabisa. Ndo...
  15. N

    2012: Arusha tutaendelea kuwa majasiri wa kupinga uonevu - Godbless Lema (MB)

    ccm wamekataa kuachia stendi ya mabasi na maeneo mengine ya wazi. Machinga complex itajengwa maeneo ya njiro kontena.
  16. N

    Arusha: Kituo cha mabasi ni mali ya chama

    je, ni sahihi kwa ccm kumiliki potential areas kama vituo vya mabasi, viwanja vya mpira, maeneo ya wazi, NHC na kule kijiji zaidi ekari 100 ni mali ya ccm. Ndo maana taifa limefilisika.
  17. N

    Arusha: Kituo cha mabasi ni mali ya chama

    subiri kama YESU atarudi atakulea source!
  18. N

    Arusha: Kituo cha mabasi ni mali ya chama

    Katika jiji la Arusha, kituo kikuu cha mabasi kinamilikiwa na chama cha mapinduzi(ccm) na wala sio chini ya jiji. Je wana wa Arusha hili mnalitambua? Katika hali ya kustaajabisha, kituo hicho hukarabatiwa kwa gharama za jiji la Arusha.
  19. N

    Dr. Slaa alitushauri wa-TZ tukampuuza, sasa kulalama kwanini?

    tafadhali ndg yangu, unanikumbusha machungu.
  20. N

    Report card ya wabunge wa Dar: Halima Mdee

    James Mbatia yuko kazini.
Back
Top Bottom