Mwalimu Mawazo hajawahi kuwa chadema, alikuwa diwani kupitia TLP akajiuzulu kaenda ccm kawa diwani 2005 hadi leo. Ila kakiri kuwa anakubali sera za chadema, tatizo anatamaa ya shilingi.
kumbe katika chama cha siasa ukisema ukweli juu ya mkubwa wako huna chama. Kafulila kamkosoa mbatia kapata kibano naye Hamad Rashid kamkosoa maalim Seif kapata kibano. Watakaofuata ni LOWASA na ZITTO. Mchakato unaendelea wanajamvi.
Bungeni Lissu alitukanwa na kukashifiwa na wabunge wa Bara na Zanzibar kisa kazungumzia aina ya muungano tunayoitaka. Sasa ukweli unaanza kujithihirisha.
eneo la kaloleni limeuzwa kwa wale wanaojiita WAWEKEZAJ wala sio maendeleo. Nje ya jiji maeneo kama lemara, uswahilini, sinoni, sokon, engosengiu, muriet, murumbo, mkonoo, nadosoito, terat, njiro nk. Maeneo ya jiji la Arusha maeneo mengi yako wazi mengine ni mashamba tena hayalimwi kabisa. Ndo...
je, ni sahihi kwa ccm kumiliki potential areas kama vituo vya mabasi, viwanja vya mpira, maeneo ya wazi, NHC na kule kijiji zaidi ekari 100 ni mali ya ccm. Ndo maana taifa limefilisika.
Katika jiji la Arusha, kituo kikuu cha mabasi kinamilikiwa na chama cha mapinduzi(ccm) na wala sio chini ya jiji. Je wana wa Arusha hili mnalitambua?
Katika hali ya kustaajabisha, kituo hicho hukarabatiwa kwa gharama za jiji la Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.