Nilikuwa na kazi maalum ofisini kwetu nikapata fursa ya kufanya "utafiti" ambao nilikusanya data zifuatazo:
Ofisi yetu ina wafanyakazi wanawake 42, na wanaume 72
Wanawake walioolewa ni 31, wasio katika ndoa ni 11
Wanaume walio ktk ndoa ni 62 wasio ktk ndoa ni 10 (wote madereva)
Kati ya wanaume...
Wadau, nimekuwa nikitumia Yahoo Mail kwa muda lakini hapa karibuni walilazimisha ku-up date e-mail yangu na tangu hapo ziwezi tena ku-attach files kwenye e-mail.
Kama kuna jinsi naweza fanya naomba msaada wanajamvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.